Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Nakupeleka ignore list.

Umepoteza privileges za kuwasiliana nami moja kwa moja hapa JF.

Kuanzia hapa sitaona posts zako zinazofuatia, frankly you are just boring me.

To me, you are allowed to be loud. You are allowed to be ignorant.

But you are not allowed to be both loud and ignorant.

You are loud and ignorant.

Uwezo wako wa kuharisha majibu kwa haraka sana umeupita kwa kasi kubwa sana uwezo wako wa kujifunza na kufikiri kimantiki.

Na mimi sijisikii kuanza kufundisha kila oompa loompa mlugaluga jinsi ya kufikiri.

Wewe ni kati ya wale watu mnapoenda kuongea sana, halafu hamna lolote la maana la kuongea.

Nakupeleka ignore list. Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
Kakimbia[emoji115][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sikunyingine usirudie kubishana na jiniusi tafuta mapimbi wenzio ubishane nao
 
Science is a process, energy is not a process. Mpaka hapo ushafeli.
Kibwengo how proccess inaweza kufanyika pasipo energy? Ina maana hata maana ya energy is the capacity of doing work hujui [emoji117][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
 
So you dont believe in Spiritual power ? Kwamba tangu akina nabii Mussa (Moses) wote ni usanii ?
Neno "spirit" ndiyo neno "energy" hivyo energy power is real...
Kidini ni spirit na kisayansi ni energy
Tumia akili
 
Sayansi hadi leo imeshindwa kutengeneza ama kuhuisha uhai wa kiumbe chochote kile.

Hadi leo bado hawajajua ni nguvu gani ilitengeneza universe, na bado hawajui kama ni sisi tu ndiyo tunaishi hapa ulimwenguni ama kuna ulimwengu mwingine.

Kifupi sayansi imefikia 3% tu ya ukweli wa siri za uumbaji wote.

Kama NASA wenyewe wanadiriki kusema kuna source ya creation ya mambo yote haya je wewe ni nani.
 
Sayansi hadi leo imeshindwa kutengeneza ama kuhuisha uhai wa kiumbe chochote kile.

Hadi leo bado hawajajua ni nguvu gani kilitengeneza universe, na bado hawajui kama ni sisi tu ndiyo tunaishi hapa ulimwenguni ama kuna ulimwengu mwingine.

Kifupi sayansi imefikia 3% tu ya ukweli wa siri za uumbaji wote.

Kama NASA wenyewe wanadiriki kusema kuna source ya creation ya mambo yote haya je wewe ni nani.
Hata asilimia 0% sayansi aijafikia usicheze na ulimwengu
 
Sayansi hadi leo imeshindwa kutengeneza ama kuhuisha uhai wa kiumbe chochote kile.

Hadi leo bado hawajajua ni nguvu gani ilitengeneza universe, na bado hawajui kama ni sisi tu ndiyo tunaishi hapa ulimwenguni ama kuna ulimwengu mwingine.

Kifupi sayansi imefikia 3% tu ya ukweli wa siri za uumbaji wote.

Kama NASA wenyewe wanadiriki kusema kuna source ya creation ya mambo yote haya je wewe ni nani.

Hii ina ujusiano gani na Dini/Mungu?
 
Kivipi mimi ni jinius haswa ninacho sema mungu yupo si kwasababi ya dini hata pasipo dini mungu yupo hata wanasayansi wakubwa na wenye akili wote wamesha jua mungu ni nani na ni nini ...no God no nothing

Mungu ni WEWE kwasababu umemtengeneza kichwani kwako baada ya kuwa brainwashed
He only exists in your head
 
Sayansi hadi leo imeshindwa kutengeneza ama kuhuisha uhai wa kiumbe chochote kile.

Hadi leo bado hawajajua ni nguvu gani ilitengeneza universe, na bado hawajui kama ni sisi tu ndiyo tunaishi hapa ulimwenguni ama kuna ulimwengu mwingine.

Kifupi sayansi imefikia 3% tu ya ukweli wa siri za uumbaji wote.

Kama NASA wenyewe wanadiriki kusema kuna source ya creation ya mambo yote haya je wewe ni nani.
Sayansi ni nini na kwa nini kama imeshindwa kujibu maswali yote leo jambo hilo liwe doa linaloifanya sayansi iwe kitu duni?

Umeona mazungumzo ya awali kuhusu hili swali post #1248 ?

 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Dogma
 
Vyanzo hivyo ni nadharia tu wala havina ukweli wowote ule.

Ni makisio tu.



Ndio chanzo hakipo.

Sisimami kwenye Sayansi wala dini maana vyote vimeshindwa kuthibitisha "Nadharia" zao kuhusu chanzo halisi cha ulimwengu.

Hivyo mpaka sasa hakuna sayansi wala dini yoyote yenye ukweli wa chanzo cha ulimwengu.

Hivyo dunia Haina chanzo mpaka pale sayansi ije na uthibitisho rasmi unao onyesha chanzo cha dunia na ueleze chanzo hicho kimewezaje kuwepo from Nothing.

Binadamu hajatokea popote pale.

Binadamu yupo tu, Hakuna muda ambao binadamu hakuwepo halafu ghafla akawepo.

Ukisema binadamu alitokea mahali fulani, Je huko alikotoka kulitoka wapi?
Hizi hoja zako unafikiria kabla haujaandika ?
 
Wao (waliogundua na believed in God) na wewe (ambaye unajisemeasemea tu), who is most intelligent?
 
Hii ina ujusiano gani na Dini/Mungu?
Hawa watu wengi sana wana mawazo ya "one track mind".

Yani ukiwabishia uwepo wa Mungu tu, tayari wanakuweka kwenye sayansi, wengine wanakuchagulia mpaka sayansi gani na kukupa big bang.

Wakati, ukikanusha uwepo wa Mungu, umekanusha uwepo wa Mungu tu, wala huhitaji kuipigia chapuo sayansi ili ukanushe uwepo wa Mungu.

In fact, unaweza kutumia mantiki kukataa uwepo wa Mungu na kuonesha mapungufu ya sayansi.

Na unaweza kukanusha uwepo wa Mungu kwa kutumia falsafa na mantiki tu, bila kujikita kwenye sayansi.
 
Hizi hoja zako unafikiria kabla haujaandika ?
Jibu maswali hayo.

Una uliza swali na hujajibu swali.

Hujibu unavyo ulizwa unajibu usivyo ulizwa.

Naku uliza hivi 👇

Kama dunia ilitokea, Huko ilikotokea kulitoka wapi?
 
Wao (waliogundua na believed in God) na wewe (ambaye unajisemeasemea tu), who is most intelligent?
Wamegundua nini?

Na wao walijisemea semea tu
ku believe in God?

Hawana uthibitisho wowote wa uwepo wa Mungu huyo zaidi ya maneno ya kusema sema tu.
 
Sawa huamini kuhusu dini je unaamini uwepo wa Mungu?
It's none of my business...ni sawa na uniulize naamini Kama Charles Robert wa Australia anaishi..I don't know na sijali.. labda nikikutana nae akanitambulisha nitajua kwamba yupo
 
Back
Top Bottom