Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Waziri mkuu wa India Narendrah Modi kajenga bonge la hekalu la mungu Budha, sehemu kulikobomolewa msikiti...so India na Budha huwaambii kitu!

Sasa Mungu wa kweli ni yupi asiyeondoa hii mikanganyiko kwa uweza wake?
Kwani Buddha ni mungu?

Mungu anapaswa aweje? Baada ya kujua hilo ndio tutaweza kumtambua huyo Mungu wa kweli.
 
Kwani Buddha ni mungu?

Mungu anapaswa aweje? Baada ya kujua hilo ndio tutaweza kumtambua huyo Mungu wa kweli.
𝑁𝑖 𝑚𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑚𝑘𝑢𝑢 𝑤𝑎 𝑤𝑎ℎ𝑖𝑛𝑑𝑖, ℎ𝑢𝑤𝑎 𝑤𝑎𝑛𝑎𝑘𝑢𝑎 𝑛𝑎 ℎ𝑖𝑗𝑗𝑎 𝑘𝑢𝑢𝑢𝑏𝑤𝑎 𝑛𝑎 𝑖𝑛𝑎ℎ𝑢𝑑ℎ𝑢𝑟𝑖𝑤𝑎 𝑛𝑎 𝑚𝑎𝑚𝑖𝑙𝑖𝑜𝑛𝑖 𝑧𝑎𝑖𝑑𝑖 ℎ𝑎𝑡𝑎 𝑦𝑎 ℎ𝑖𝑗𝑗𝑎 𝑧𝑎 𝑤𝑎𝑖𝑠𝑙𝑎𝑚.


𝑆𝑜, 𝑘𝑤𝑎 𝑒𝑛𝑒𝑜 𝑙𝑎𝑜 𝑢𝑘𝑖𝑤𝑎𝑎𝑚𝑏𝑖𝑎 𝑘𝑢𝑛𝑎 𝑀𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑧𝑎𝑖𝑑𝑖 𝑦𝑎 𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑜 ℎ𝑎𝑢𝑡𝑎𝑒𝑙𝑒𝑤𝑒𝑘𝑎!
 
Hili mngetujuza mnao amini katika Mungu mkuu

Maana mnatuvuruga na mamilioni ya Miungu yenu

Dini imekua kama UTAMADUNI tu kulingana na jiografia historia na makuzi na sio based on FACTS
Wewe si unapinga madai ya kuwepo Mungu na unadai hakuna Mungu? Hivyo unajua zaidi Mungu anatakiwa aweje na ndio maana unakataa hakuna Mungu.
 
Naona vibox mkuu umeandika nini?
𝑁𝑖 𝑚𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑚𝑘𝑢𝑢 𝑤𝑎 𝑤𝑎ℎ𝑖𝑛𝑑𝑖, ℎ𝑢𝑤𝑎 𝑤𝑎𝑛𝑎𝑘𝑢𝑎 𝑛𝑎 ℎ𝑖𝑗𝑗𝑎 𝑘𝑢𝑢𝑢𝑏𝑤𝑎 𝑛𝑎 𝑖𝑛𝑎ℎ𝑢𝑑ℎ𝑢𝑟𝑖𝑤𝑎 𝑛𝑎 𝑚𝑎𝑚𝑖𝑙𝑖𝑜𝑛𝑖 𝑧𝑎𝑖𝑑𝑖 ℎ𝑎𝑡𝑎 𝑦𝑎 ℎ𝑖𝑗𝑗𝑎 𝑧𝑎 𝑤𝑎𝑖𝑠𝑙𝑎𝑚.


𝑆𝑜, 𝑘𝑤𝑎 𝑒𝑛𝑒𝑜 𝑙𝑎𝑜 𝑢𝑘𝑖𝑤𝑎𝑎𝑚𝑏𝑖𝑎 𝑘𝑢𝑛𝑎 𝑀𝑢𝑛𝑔𝑢 𝑧𝑎𝑖𝑑𝑖 𝑦𝑎 𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑜 ℎ𝑎𝑢𝑡𝑎𝑒𝑙𝑒𝑤𝑒𝑘𝑎!
 
Wewe si unapinga madai ya kuwepo Mungu na unadai hakuna Mungu? Hivyo unajua zaidi Mungu anatakiwa aweje na ndio maana unakataa hakuna Mungu.
Mkuu umepewa sifa za msingi za dhana ya Mungu hapo juu na ukaziwekea mikingamo
Sasa tujuze wewe unaye mjua Mungu wa kweli ni yupi out of mamilioni ya Miungu ili nasisi tumjue na sifa zake

Inawezekana tunaona hakuna Mungu pengine ni kwasababu tu hatuna ufahamu mzuri ambao wewe unao utakao tusaidia kumjua Mungu wa kweli
 
Mkuu umepewa sifa za msingi za dhana ya Mungu hapo juu na ukaziwekea mikingamo
Sasa tujuze wewe unaye mjua Mungu wa kweli ni yupi out of mamilioni ya Miungu ili nasisi tumjue na sifa zake

Inawezekana tunaona hakuna Mungu pengine ni kwasababu tu hatuna ufahamu mzuri ambao wewe unao utakao tusaidia kumjua Mungu wa kweli
Sijaweka mikingamo nimekumbusha tu maana inajulikana kwamba kuna miungu ina sifa tofauti na sifa za Mungu katika hizi dini mbili.

Mkuu unataka kumjua Mungu wa kweli wakati una msimamo wa kwamba hakuna Mungu katika uhalisia? Sasa naanzaje kuzungumzia Mungu wa kweli kwa mtu ambaye hakubali kabisa kama uwepo wa Mungu?
 
Tumia Akili yako na Sio hisia Katika Maisha yako.
Mmetishwa mmekuwa waoga , mumeacha kuwa binadamu anayetumia akili kuishi kwenye shughuli zao.

Huyo Mungu mnaetaja , kila siku Lakin mmeshindwa kuwa wachamungu wa Kweli, na kuishia kuwa wanafaki Tu, coz kitu mnacho kutegemea hakipo.

Ndio maana mnakosa ukamilifu wa kibinadamu
 
𝑆𝑎𝑠𝑎 𝑤𝑒𝑤𝑒 𝑢𝑛𝑎𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑘𝑢𝑜𝑛𝑔𝑒𝑧𝑎 𝑚𝑎𝑛𝑒𝑛𝑜 𝑦𝑎𝑘𝑜 𝑎𝑚𝑏𝑎𝑦𝑜 𝐵𝑖𝑏𝑙𝑖𝑎 ℎ𝑎𝑖𝑘𝑢𝑎𝑛𝑑𝑖𝑘𝑎. 𝐼𝑚𝑒𝑎𝑛𝑑𝑖𝑘𝑤𝑎 𝑤𝑎𝑝𝑖 𝐴𝑑𝑎𝑚 𝑛𝑎 𝐸𝑣𝑎 𝑤𝑎𝑙𝑖𝑧𝑎𝑎 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑙𝑖𝑦𝑒𝑜𝑙𝑒𝑤𝑎 𝑛𝑎 𝐾𝑎𝑖𝑛𝑖!

Biblia inasema Kaini alikua mtoto wa Kwanza wa Adam na Eva, na baada ya kumuua nduguye Abel, alikimbilia nchi ya Nodi na akaoa huko, Je alimuona nani na alizaliwa na nani wkt Adam n Eva walikua na watoto wawili tu?

Usiweke mawazo yako, weka kilichoandikwa!
@Jumong S Hii mada bado inaendelea? By the way Adam na Hawa walizaa watoto wengi wa kiume na wa kike. Basi ni wazi kuwa Kaini alipooa alimchukua dada yake maana ndio waliokuwa duniani.
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Yaaani umeropoka tu bila fact hujafafanua hicho unacho kiamini mpaka kutushawishi kukuamini nyie ndiyo wale mnao amini Hakuna Mungu pole sana
 
Back
Top Bottom