Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huko? Ni biashara pekee ama kuna njia nyingine?

Yaani we jamaa, kichefuchefu kweli! Kila sehemu lazima uchefue tu kwa kuingiza udini!

Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Hutaki aseme ukweli au? Hapa kakosea nini sasa? Usipende kuficha ukweli kijana.
Uko sahihi kabisa...watu hawataki tu kukubali ukweli wakati Aisha mwenyewe anajuwa alibakwa
 
Hija ni nini?

bdicho ni nini?

Ganu ni nini?

Umeandika kwa lugha gani yakhee?
Sasa kama umeshindwa kung'amua nilicho andika kwa kujua ni makosa ya kiuandishi vipi utaweza kusimamisha hija na mimi ?

Mimi naweza kujua kosa la kiuandishi na kujua fika ya kuwa aliyeandika hapa alikusudia kuandika nini.
 
Sasa kama umeshindwa kung'amua nilicho andika kwa kujua ni makosa ya kiuandishi vipi utaweza kusimamisha hija na mimi ?

Mimi naweza kujua kosa la kiuandishi na kujua fika ya kuwa aliyeandika hapa alikusudia kuandika nini.
Hija ndio nini? Kwasababu bado unaandika pumba tu.
 
Sio kweli, umeandika vitu usivyovijua. Sauli ndio Paul aliyekuwa Towashi na ambaye alikuwa katili sana ila baadae akawa Mkristo na mwanzilishi na mwenezi wa makanisa sehemu mbalimbali
Hapa ulikuwa unanijibu mimi, wakati mimi nimekwambia kabisa Sauli alivuliwa UFALME kwa kutokuua vizuri, wewe unaniletea porojo za Paulo ambaye katu hakuwa Mfalme , ndio maana nakwambia uwezo wako mdogo( 152), rejea hayo majadiliano
 
Walitumia biashara,kushawishi watu weusi kuwafanyia kazi,waliieneza tu kwa mtindo usio tofautianana na wa ukristo kwa tu,pakatokea makundi ya wakristo na waislamu basi,na wala hakuna namna yoyote nyingie iaipokua tulipo kosea ni kuacha kabisa mila na destiri zetu zilizo kuwepo na tukaaminishwa kua ni dhambi bola kujua dhambi ni nini maana yake

Only Rastafafian ndiyo imani thabiti kwa uchache iliyo baki ambayo kwa kiasi bado inatukuza na kuamini nguvu ya mtu mweusi
 
Kwanini unaona tatizo waislamu kuzitoa kasoro baadhi ya hadithi, wakati Biblia yenyewe mpaka leo kuna yenye vitabu 66 na 72? unashangaa waislamu kukataa baadhi ya hadithi halafu katu hushangai wakristo wenzako kukataa vitabu.kabisa kama Habakuki na vinginevyo
 
1. Ajabu iko wapi Mungu kuongozana na mabikra?wakati Bikra ni uumbaji wake
2.Mito ya pombe na masoko yana.shida gani? Ata kile kitabu cha kwenye biblia kilisema.wazi maisha yana raha gani bila pombe
3.Unaweza kutuambia wapi kumeandikwa kuna masoko ya MALAYA ?
4.Ajabu iko wapi vivulana kutumikishwa? mbona ata duniani mnawatumikisha wavulana au wanaume, au ulitaka tuwatumikishe malaika? Karibu
 
Haki ya kuuwa wasio waislam?

Haki ya kuoa wake wengi sio?

Hebu tufafanulie hizo haki sheikh,
1.Waisrael waliua watu wanaoabudu miungu mingine tofauti ya Yehova, tena kwa Amri ya Yehova
2. Ebu tuambie nani anamzidi Selemani kwa kuoa wake wengi? acha wivu
 
I
Shukrani kwa bandiko zuri.

Hilo swali lako wanahistoria waje hapa watupe ufafanuzi tupate elimu.
Kaka,iko wazi kabisa hamna cha kushangaza hapo

Warabu walikuwa na bado ni wafanya Biashara wakubwa Duniani

Biashara ndio iliyowafanya Warabu watange tange Dunia nzima

Uislam unakataza kumtawala mtu mwengine bila ya ridhaa yake

Wazungu wao walikuwa na lengo Moja Tu,kutawala..

Hata hao Wamisionary waliokuja Afrika walikuja kwa kazi maalumu,..

KAZI kubwa ya Wamisionary ilikuwa,kuhibiri duni,kuchunguza na kupeleka habari kwa Watawala

Wazungu waliweza kutawala Dunia kwa mgongo wa dini,dini ilitumika kama silaha

Wazungu waliweza kutengeneza dini moja,lakini makanisa tafauti.

Mungu huyo huyo lakini kanisa tafauti, Kanisa la nmzungu alikuwa hawezi kuingia mtu mweusi au mtu asie Mzungu....
 
Ndio, Yesu alikufa kwa malengo makubwa, kwa Ukombozi wetu sisi sio kwa kuwalazimisha watu wabatizwe kuwa wakristo
Yesu,hakufa kwa kumkomboa yotote isipokuwa Wana wa Israel.. Biblia ndio inavyosema

Je wale waliokufa Kabla ya Yesu kuzaliwa,wale waliofanya madhambi makubwa makubwa walikombolewa na Nani?
 
Yesu,hakufa kwa kumkomboa yotote isipokuwa Wana wa Israel.. Biblia ndio inavyosema

Je wale waliokufa Kabla ya Yesu kuzaliwa,wale waliofanya madhambi makubwa makubwa walikombolewa na Nani?
Walikombolewa na Mungu kupitia manabii wake, Musa, Nuhu, Haruni, Isaya, Elia n.k waliokuwepo kabla ya Yesu kuja duniani

Hilo la Yesu kuwakomboa waisrael tu limeandikwa wapi katika Biblia?

Onesha palipoandikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…