Dini yetu ndiyo ya kwanza, Tunaheshimu Sanamu-hatu-abudu sanamu!

Dini yetu ndiyo ya kwanza, Tunaheshimu Sanamu-hatu-abudu sanamu!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
  1. Amri ya Pili katika Amri Kumi:
    • Kutoka 20:4-5: "Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvihudumia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu."
  2. Kukemea Sanamu:
    • Kumbukumbu la Torati 4:16-19: "Msije mkajiharibu nafsi zenu, mkajifanyia sanamu ya kuchonga katika umbo la mfano wa yeyote, mfano wa mwanamume au mwanamke... au mfano wa samaki aliye majini chini ya dunia. Na utakapoinua macho yako uone jua, na mwezi, na nyota, naam, jeshi lote la mbinguni, usije ukashawishiwa kuviabudu na kuvitumikia."
  3. Kukemea Sanamu katika Agano Jipya:
    • 1 Wakorintho 10:14: "Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni ibada ya sanamu."
    • 1 Yohana 5:21: "Watoto wadogo, jilindeni nafsi zenu na sanamu."
  4. Matokeo ya Kuabudu Sanamu:
    • Zaburi 115:4-8: "Sanamu zao ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu. Zina vinywa, lakini hazineni; zina macho, lakini hazioni; zina masikio, lakini hazisikii; zina pua, lakini hazinusi; mikono, lakini hazishiki; miguu, lakini hazitembei; wala hazitoi sauti na koo lao. Wazifanyao sanamu watakuwa kama hizo; naam, kila mtu azitumainiye.
  5. Kuabudu Mungu Pekee:
    • Isaya 42:8: "Mimi ndimi Bwana, ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitatoa sifa yangu kwa sanamu za kuchonga."
Kwa muhtasari, Biblia inasisitiza kwamba ibada inapaswa kumwelekea Mungu pekee, na kwamba kuabudu sanamu au kuchonga sanamu kwa madhumuni ya ibada ni kinyume na mapenzi ya Mungu.
Sanamu zinaonekana kama kitu ambacho hakiwezi kuleta msaada wala kutenda chochote kwa sabab
u hazina uhai. Pia, ibada ya sanamu inaonekana kama usaliti kwa Mungu na inachukuliwa kama dhambi kubwa.
 
  1. Amri ya Pili katika Amri Kumi:
    • Kutoka 20:4-5: "Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvihudumia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu."
  2. Kukemea Sanamu:
    • Kumbukumbu la Torati 4:16-19: "Msije mkajiharibu nafsi zenu, mkajifanyia sanamu ya kuchonga katika umbo la mfano wa yeyote, mfano wa mwanamume au mwanamke... au mfano wa samaki aliye majini chini ya dunia. Na utakapoinua macho yako uone jua, na mwezi, na nyota, naam, jeshi lote la mbinguni, usije ukashawishiwa kuviabudu na kuvitumikia."
  3. Kukemea Sanamu katika Agano Jipya:
    • 1 Wakorintho 10:14: "Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni ibada ya sanamu."
    • 1 Yohana 5:21: "Watoto wadogo, jilindeni nafsi zenu na sanamu."
  4. Matokeo ya Kuabudu Sanamu:
    • Zaburi 115:4-8: "Sanamu zao ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu. Zina vinywa, lakini hazineni; zina macho, lakini hazioni; zina masikio, lakini hazisikii; zina pua, lakini hazinusi; mikono, lakini hazishiki; miguu, lakini hazitembei; wala hazitoi sauti na koo lao. Wazifanyao sanamu watakuwa kama hizo; naam, kila mtu azitumainiye."
  5. Kuabudu Mungu Pekee:
    • Isaya 42:8: "Mimi ndimi Bwana, ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitatoa sifa yangu kwa sanamu za kuchonga."
Kwa muhtasari, Biblia inasisitiza kwamba ibada inapaswa kumwelekea Mungu pekee, na kwamba kuabudu sanamu au kuchonga sanamu kwa madhumuni ya ibada ni kinyume na mapenzi ya Mungu.
Sanamu zinaonekana kama kitu ambacho hakiwezi kuleta msaada wala kutenda chochote kwa sabab
u hazina uhai. Pia, ibada ya sanamu inaonekana kama usaliti kwa Mungu na inachukuliwa kama dhambi kubwa.
Mshirikina na mshirikana tu. Ata abadili jina ukweli unabaki pale pale kwamba ni Mshirikina.
 
Unaiheshimu sanamu ili iweje?

What is the Rationale?

Ukichaa tu huu.
Zaburi 115:4-8: "Sanamu zao ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu. Zina vinywa, lakini hazineni; zina macho, lakini hazioni; zina masikio, lakini hazisikii; zina pua, lakini hazinusi; mikono, lakini hazishiki; miguu, lakini hazitembei; wala hazitoi sauti na koo lao. Wazifanyao sanamu watakuwa kama hizo; naam, kila mtu azitumainiye.
 
Maana nyingine ya kuheshimu ni kuabudu, kuheshimu ni sehemu ya ibaada....
Zaburi 115:4-8: "Sanamu zao ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu. Zina vinywa, lakini hazineni; zina macho, lakini hazioni; zina masikio, lakini hazisikii; zina pua, lakini hazinusi; mikono, lakini hazishiki; miguu, lakini hazitembei; wala hazitoi sauti na koo lao. Wazifanyao sanamu watakuwa kama hizo; naam, kila mtu azitumainiye.
 
Nyie mnao wahukumu wanaoheshimu sanamu kuwa wana abudu sanamu , huwa mnasali kwenye Ofisi ya Mungu mbinguni directly au kwenye nyumba hizi hizi zilizojenjwa kwa udongo , mawe na mnatumia fedha kutoa sadaka ? Kwa nini msijikite kurekebisha mapungufu yenu kwanza badala ya kuhukumu tena mnahukumu kwa kusingizia uongo ? Mt. 7:3 Basi mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako , na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii ? Au utamwambiaje nduguyo : Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako , na kumbe ! mna boriti ndani ya jicho lenu mwenyewe . Walokole mnahukumu watu utadhani huwa mnasali mbinguni kwenye Ofisi ya Mungu . Yesu mnaye mshadadia kwa juu juu tu si aliwakataza kuhukumu .
 
Ndo tumeipenda wenyewe ,,na naipenda sababu naweza kumix na mambo ya asili na ikaenda
 
Ndo tumeipenda wenyewe ,,na naipenda sababu naweza kumix na mambo ya asili na ikaenda
 
Sio tunaiheshimu tunaiweka kama kumbukumbu tu, Ndio maana hata wewe unayo album yako au Galley yako
 
Kwenye hilo wakatoliki tunakosea, maandiko yako wazi ila Mimi nitaendelea kuwa makatoliki pamoja na mapungufu yake , Naam nioneshe pahala pasipo na mapungufu
 
kaka Covax amesema kuheshumu ni kuabudu.

Kaka Covax ana amini kwamba huwezi kuheshimu kinyago ulichokichonga mwenyewe, kisicho na pumzi, unachokipaka rangi kila mara !
Point yangu ni kuwa kuheshimu siyo kuabudu..!! Na ndiyo maana nikamuuliza, kama babaake au mamaake anamuheshimu au anamuabudu..!! Sikuwa namlinganisha babaake na sanamu ya babaake..!!
 
Back
Top Bottom