Dini za wakoloni hazina maisha marefu Afrika. Watu wameanza kujua ukweli

Dini za wakoloni hazina maisha marefu Afrika. Watu wameanza kujua ukweli

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Jamaa ameongea maneno makubwa sana.

Jamaa Kaniacha hoi mwishoni tu alivyomalizia na stiki ya kutolea meno tunaagiza china


 
Dini ipi kati ya hizi mbili toka mashariki ya kati? Kuna moja waumini wake ni wabishi na wana munkari hutawaweza kuhusu kuamini dini yao
 
Kila kitu muafrika ameiga hakuna cha maana alichovumbua,huamini dini ya mweupe lakini unashangilia na kuiga michezo aliyoianzisha,vaa yake,technology yake etc etc.

Unasema wanaotoa sadaka kwenye nyumba za ibada wanachezea hela (sometimes hiyo sadaka wanayotoa haizidi 1,000/=) kwamba hela wanakula viongozi wa dini huku wewe unanunua ticket kwenda kuangalia mchezo wa mpira aliouanzisha mzungu au muarabu,tena unanunua bei juu ticket moja 20,000/= so utakuta wote wanaoamini na wasioamini hakuna walichozidiana kama akili wote hawana.

Muhimu sana kila mtu aachwe afanye kile kinamfurahisha hakuna haja ya kufatana fatana.
 
Tulipambazwa vya kutosha sijui walitumia mbinu za ulimwengu wa roho! "Bikira Maria alipalizwa mbinguni " tukakubali kama mazuzu!! Tukatupia mbali imani zetu na kuchukuwa zao!! Terrible!
 
Jamaa ameongea maneno makubwa sana


View attachment 2953702
Wewe kwa usitawi na maendeleo ya wanadamu na watanzania kihususa dini ya kuiogopa ni uislam, halafu ina unafiki. Si unaona vipindi hivi vya mfungo wa kwaresma na Ramadhani. Uliona wapi mtu analazimishwa kufunga kwaresma??!! Bali umejionea utofauti pale watu walipolazimishwa na hata kukamatwa na kuchapwa kwa kula mchana wa Ramadhani kule Zanzibar.
Basi ni wambie; TISHIO KUBWA LA UISLAM NI WATU WALIOACHA UISLAM NA KUAMUA KUFUNGUKA. ONA HAPA CHINI

View: https://youtu.be/A8QkTR_GoEk?si=GPnjKv7V48-hylgn
 
Kila kitu muafrika ameiga hakuna cha maana alichovumbua,huamini dini ya mweupe lakini unashangilia na kuiga michezo aliyoianzisha,vaa yake,technology yake etc etc.

Unasema wanaotoa sadaka kwenye nyumba za ibada wanachezea hela (sometimes hiyo sadaka wanayotoa haizidi 1,000/=) kwamba hela wanakula viongozi wa dini huku wewe unanunua ticket kwenda kuangalia mchezo wa mpira aliouanzisha mzungu au muarabu,tena unanunua bei juu ticket moja 20,000/= so utakuta wote wanaoamini na wasioamini hakuna walichozidiana kama akili wote hawana.

Muhimu sana kila mtu aachwe afanye kile kinamfurahisha hakuna haja ya kufatana fatana.
😅😅😅Mtu anayeongea hata elimu yake inatumia kingereza cha mkoloni
 
Back
Top Bottom