DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Maoni binafsi
Dini -ni Kama mfupa mgumu ambao walipewa watu waangaike nao -kuumeza huo mfupa wengi hawawezi kuumeza wala kuuvunja.
The bible is there
Quruan is there
But only few people can use it positively.
Watu wanatengana
Wanabaguana
Wanachukiana
Dini zote zinafundisha UPENDO lakini why people they hate each other.
I'm sure watu wasiotambua maana ya dini ndo huzalisha conflicts , misunderstanding and other negativity.
Dini ni njia ya kukupeleka kwa MUNGU Ila unaweza kufika kwa Mungu bila dini.
It is better to respect someone' else FAITH.
Love is all we need to preach , because there is nothing way we can show GOD in the world than LOVE.
I pray for PEACE and serenity to every body 🙏🏽.
Dini -ni Kama mfupa mgumu ambao walipewa watu waangaike nao -kuumeza huo mfupa wengi hawawezi kuumeza wala kuuvunja.
The bible is there
Quruan is there
But only few people can use it positively.
Watu wanatengana
Wanabaguana
Wanachukiana
Dini zote zinafundisha UPENDO lakini why people they hate each other.
I'm sure watu wasiotambua maana ya dini ndo huzalisha conflicts , misunderstanding and other negativity.
Dini ni njia ya kukupeleka kwa MUNGU Ila unaweza kufika kwa Mungu bila dini.
It is better to respect someone' else FAITH.
Love is all we need to preach , because there is nothing way we can show GOD in the world than LOVE.
I pray for PEACE and serenity to every body 🙏🏽.