Dini zinawagawa sana watu kuliko kuwaunganisha .

Dini zinawagawa sana watu kuliko kuwaunganisha .

Kwenye mahubiri ama maandiko ya dini. Mungu na shetani ni imaginary figures zilizoko kwenye maandiko ya dini. Sasa ukisoma kila maandiko ya dini yana Mungu wake, kila dini ina mungu wake ila shetani anakua ni yule yule kwa dini zote, hapo ndio utapeli unapoanzia.
Kama shetani ni yule yule basi pia historia zao zingefanana.
Kuna dini ambazo historia za mashetani yao hazifanani kabisa na shetani wa kwenye Bible (Lucifer).
Fanya kwanza utafiti kwa kufuatilia kila dini kwa undani.
 
swali ni kwamba kabla ya dini watu walikuwa wameungana? anzia tu na kwetu kabla ya ukristo tuliishije? tulikuwa tumeungana? achilia mbali mbali hata tu kuwa na taifa moja na lugha moja? anzia hapo, ndiyo utaelewa umuhimu wa Ukristo, na Ukristo umefanya hivyo Dunia nzima kuanzia Ulaya mpaka kwetu, bila ya Ukristo hakuna western civilization ambayo tunajivunia wote leo hii dunia nzima wakati mwingine bila hata kujua …
 
Na dini zinapendwa zaidi na watu wenye akili kidogo.
Mtu timamu hawezi kuwatenga wenzake kisa dini!

haha kabla ya Ukristo kuingia Europe iliteracy ilikuwa ~ 100% halafu unasema Ukristo ni akili ndogo? all famous Universities Duniani leo hii zilianzishwa na Christianity kuanzia english universities, European Universities mpaka USA zote zilianzishwa na Christianity halafu wewe unasema ni akili ndogo? Albert Einstein, jina lake ni christian, alikuwa named after Christian saint halafu wewe unaita akili ndogo? bila ya Christianity hakuna western civilization, btw hata Kiswahili chetu unaweza kuandika hivyo sababu ya Chistianity bila ya Christianity usingeweza hata kuandika Kiswahili sanifu halafu unaita akili ndogo tena wewe kama mwafrika na mtu mweusi ambaye ni beneficiary mkubwa wa christiniaty Dunia hii baada ya Mzungu unasema Christianity ni akili ndogo? watu wako miaka 100 tu iliyopita kabla ya Ukristo hawakujua kusoma wala kuandika halafu leo hii umeota pembe unaita Ukristo akili ndogo? tanzagiza kuna sehemu nyingi hakuna hata huduma ya serikali na watu hutegemea kanisa kuanzia elimu, matibabu mpaka wakati mwingine chakula na mavazi halafu wewe mtu mweusi unaita Christianity akili ndogo ? …
 
haha kabla ya Ukristo kuingia Europe iliteracy ilikuwa ~ 100% halafu unasema Ukristo ni akili ndogo? all famous Universities Duniani leo hii zilianzishwa na Christianity kuanzia english universities, European Universities mpaka USA zote zilianzishwa na Christianity halafu wewe unasema ni akili ndogo? Albert Einstein, jina lake ni christian, alikuwa named after Christian saint halafu wewe unaita akili ndogo? bila ya Christianity hakuna western civilization, btw hata Kiswahili chetu unaweza kuandika hivyo sababu ya Chistianity bila ya Christianity usingeweza hata kuandika Kiswahili sanifu halafu unaita akili ndogo tena wewe kama mwafrika na mtu mweusi ambaye ni beneficiary mkubwa wa christiniaty Dunia hii baada ya Mzungu unasema Christianity ni akili ndogo? watu wako miaka 100 tu iliyopita kabla ya Ukristo hawakujua kusoma wala kuandika halafu leo hii umeota pembe unaita Ukristo akili ndogo? tanzagiza kuna sehemu nyingi hakuna hata huduma ya serikali na watu hutegemea kanisa kuanzia elimu, matibabu mpaka wakati mwingine chakula na mavazi halafu wewe mtu mweusi unaita Christianity akili ndogo ? …
Dini ni chombo, ambacho 'watu wenye akili nyingi' wanakitumia kwa ajili ya kufanikisha mambo yao. Hayo unayozungumzia ndiyo hayo mambo yao. Ninyi wenye akili za kawaida, hamfahamu hilo. Na mfano ni wewe ambaye hoja zako zote ziko hapa kukingia kifua Christianity. Wewe unaweza kupigana na wasio wakristo kwa sababu ya dini.
 
Dini ni chombo, ambacho 'watu wenye akili nyingi' wanakitumia kwa ajili ya kufanikisha mambo yao. Hayo unayozungumzia ndiyo hayo mambo yao. Ninyi wenye akili za kawaida, hamfahamu hilo. Na mfano ni wewe ambaye hoja zako zote ziko hapa kukingia kifua Christianity. Wewe unaweza kupigana na wasio wakristo kwa sababu ya dini.

siyo kweli, ni rahisi kucritisize Christianity kwa hiki na kile labda nikuulize kabla ya Christianity kuingia tulikuea na akili? maisha yetu yalikuwaje kama ni kweli Christianity ni kwa watu wasio na akili? isitoshe Wamasai hawana na wala hawafwati Christianity are they better off? je, wamasai wana akili kwa maana hawana Chriatianity hivyo kwa theory yako ni lazima wawe na akili sana, na je, ungependa kuishi kwenye manyata porini na kuvaa shuka kama wamasai au ungependa kuvaa tuxedo?
 
Hivi ata wale waliofurahia vile vifo vya wale watanzania wanafunzi kule mashariki ya kati na wao dini yao inahamasisha upendo.
 
siyo kweli, ni rahisi kucritisize Christianity kwa hiki na kile labda nikuulize kabla ya Christianity kuingia tulikuea na akili? maisha yetu yalikuwaje kama ni kweli Christianity ni kwa watu wasio na akili? isitoshe Wamasai hawana na wala hawafwati Christianity are they better off? je, wamasai wana akili kwa maana hawana Chriatianity hivyo kwa theory yako ni lazima wawe na akili sana, na je, ungependa kuishi kwenye manyata porini na kuvaa shuka kama wamasai au ungependa kuvaa tuxedo?
Nilichokisema ndicho unachokidhihirisha; hivi unafahamu kuwa kulikuwa na maisha miaka na mikaka kabla Kristo (ambaye ndiye mwanzilishi wa Ukristo hajazaliwa). Hivi unafahamu, Ukristo ni dini ndogo sana katika jamii ya Waisrael (ambao kwenu ninyi ni watu wateule na wenye akili nyingi za uvumbuzi)?
Wewe unaona Wamasai wanaishi vibaya kwa sababu umekuwa brainwashed na kuamini yale maisha yaliyoletwa na mkoloni ndiyo maisha mazuri. Na hayo ndiyo madhara ya dini.
Kama nilivyoeleza, inapendwa na watu wenye akili ndogo wasiojua kupambanua mambo!
 
Nilichokisema ndicho unachokidhihirisha; hivi unafahamu kuwa kulikuwa na maisha miaka na mikaka kabla Kristo (ambaye ndiye mwanzilishi wa Ukristo hajazaliwa). Hivi unafahamu, Ukristo ni dini ndogo sana katika jamii ya Waisrael (ambao kwenu ninyi ni watu wateule na wenye akili nyingi za uvumbuzi)?
Wewe unaona Wamasai wanaishi vibaya kwa sababu umekuwa brainwashed na kuamini yale maisha yaliyoletwa na mkoloni ndiyo maisha mazuri. Na hayo ndiyo madhara ya dini.
Kama nilivyoeleza, inapendwa na watu wenye akili ndogo wasiojua kupambanua mambo!

ndiyo kulikuwa na maisha kabla ya Ukristo lkn hayakuwa bora na hakuna anayetamani kuyaishi leo hii, kuhusu wamasai kuwa brain washed siyo kweli labda hao wa mjini lkn nenda umasaini ambako hakuna western Christian influence yoyote uone wanavyoishi hata siyo wamsai tu wapo wasandawe au wahendzabe pia wanawinda mpaka leo bado hawajafikiwa na Christianity.

swali langu kwako/kwenu, kabla ya Ukristo kuingia kwetu ambapo ni kama miaka 150 iliyopita, hali yetu kama jamii ilikuwaje? tulikuwa tumeungana? tulikuwa na civilization yoyote ile iliyosimama? nitajie City yoyote ile tuliojenga ambayo ilisimama with planning, water, sewage system na shule na hospitals, modern agriculture nitajie huo mji uliitwaje kabla ya Ukristo? Usinitajie kilwa au sijui kondoa hizo ni islamic.

pia usichanganye mambo ya siasa za kidunia na Christianity, mauaji ya watu Gaza na Palestine siyo Christianity kwanza ni kinyume chake, ni satanic ni watu wasiokuwa na dini communist ndiyo wanaouwa watu, Christians help people of Gaza na sehemu nyingine nyingi Duniani …
 
ndiyo kulikuwa na maisha kabla ya Ukristo lkn hayakuwa bora na hakuna anayetamani kuyaishi leo hii, kuhusu wamasai kuwa brain washed siyo kweli labda hao wa mjini lkn nenda umasaini ambako hakuna western Christian influence yoyote uone wanavyoishi hata siyo wamsai tu wapo wasandawe au wahendzabe pia wanawinda mpaka leo bado hawajafikiwa na Christianity.

swali langu kwako/kwenu, kabla ya Ukristo kuingia kwetu ambapo ni kama miaka 150 iliyopita, hali yetu kama jamii ilikuwaje? tulikuwa tumeungana? tulikuwa na civilization yoyote ile iliyosimama? nitajie City yoyote ile tuliojenga ambayo ilisimama with planning, water, sewage system na shule na hospitals, nitajie huo mji uliitwaje kabla ya Ukristo? Usinitajie kilwa au sijui kondoa hizo ni islamic.

pia usichanganye mambo ya siasa za kidunia na Christianity, mauaji ya watu Gaza na Palestine siyo Chriatianity kwanza ni kinyume chake, ni satanic ni watu wasiokuwa na dini communist ndiyo wanaouwa watu, Christians help people of Gaza na sehemu nyingine nyingi Duniani …
Wewe ndiyo uko brainwashed siyo Wamasai.
 
Wewe ndiyo uko brainwashed siyo Wamasai.

lkn sidhani kama unatamani kuishi kama wao wamasai kwenye manyata na kuvaa shuka, au? wamasai wanakimbilia mijini, wanapenda pia civilized City life, unafikiri kwa nini siyo kinyume chake kama maisha ya bila Ukristo ni bora tusingependa kwenda kuishi umasaini ?
 
Dini ni chombo, ambacho 'watu wenye akili nyingi' wanakitumia kwa ajili ya kufanikisha mambo yao. Hayo unayozungumzia ndiyo hayo mambo yao. Ninyi wenye akili za kawaida, hamfahamu hilo. Na mfano ni wewe ambaye hoja zako zote ziko hapa kukingia kifua Christianity. Wewe unaweza kupigana na wasio wakristo kwa sababu ya dini.
Muulize China, Japan na nchi nyingine za bara la Asia zimeendelea sababu ya ukristo?
Na Africa je?
 
ndiyo kulikuwa na maisha kabla ya Ukristo lkn hayakuwa bora na hakuna anayetamani kuyaishi leo hii, kuhusu wamasai kuwa brain washed siyo kweli labda hao wa mjini lkn nenda umasaini ambako hakuna western Christian influence yoyote uone wanavyoishi hata siyo wamsai tu wapo wasandawe au wahendzabe pia wanawinda mpaka leo bado hawajafikiwa na Christianity.

swali langu kwako/kwenu, kabla ya Ukristo kuingia kwetu ambapo ni kama miaka 150 iliyopita, hali yetu kama jamii ilikuwaje? tulikuwa tumeungana? tulikuwa na civilization yoyote ile iliyosimama? nitajie City yoyote ile tuliojenga ambayo ilisimama with planning, water, sewage system na shule na hospitals, modern agriculture nitajie huo mji uliitwaje kabla ya Ukristo? Usinitajie kilwa au sijui kondoa hizo ni islamic.

pia usichanganye mambo ya siasa za kidunia na Christianity, mauaji ya watu Gaza na Palestine siyo Christianity kwanza ni kinyume chake, ni satanic ni watu wasiokuwa na dini communist ndiyo wanaouwa watu, Christians help people of Gaza na sehemu nyingine nyingi Duniani …
Nimekwambia kuwa dini hasa Ukristo ni chombo kinachotumika na watu wakubwa kwa ajili ya kufanikisha azma zao. Kama vile ambavyo ilitumika kwa ajili ya kuuleta ukoloni.

Unapouliza maswali kama hili " miaka 150 iliyopita, hali yetu kama jamii ilikuwaje? tulikuwa tumeungana? tulikuwa na civilization yoyote ile iliyosimama?" inaonesha wazi kabisa hujui hata historia ya kawaida tu ambayo hata babu yako anaweza kukusimulia.

Ingelikuwa hatuna ustaarabu wetu, wakoloni wasingesumbuka kuja kuweka misingi yao huku.
Sisi tuliendelea kwa namna yetu, lakini tuko nyuma katika kuendelea kwa namna zao. Wewe na wapenda dini wenzako ambao mmebumba historia ya Waisraeli ni kuifanya ndiyo ya dunia nzima, mnaona kuwa yeyote asiyefuata ustaarabu wao, basi hajastaarabika.
 
lkn sidhani kama unatamani kuishi kama wao wamasai kwenye manyata na kuvaa shuka, au? wamasai wanakimbilia mijini, wanapenda pia civilized City life, unafikiri kwa nini siyo kinyume chake kama maisha ya bila Ukristo ni bora tusingependa kwenda kuishi umasaini ?
Mimi natamani kuishi kama Wamasai.
Na nitaulaani ukoloni hadi siku ya umauti wangu.
 
Maoni binafsi

Dini -ni Kama mfupa mgumu ambao walipewa watu waangaike nao -kuumeza huo mfupa wengi hawawezi kuumeza wala kuuvunja.

The bible is there
Quruan is there

But only few people can use it positively.

Watu wanatengana
Wanabaguana
Wanachukiana

Dini zote zinafundisha UPENDO lakini why people they hate each other.

I'm sure watu wasiotambua maana ya dini ndo huzalisha conflicts , misunderstanding and other negativity.

Dini ni njia ya kukupeleka kwa MUNGU Ila unaweza kufika kwa Mungu bila dini.

It is better to respect someone' else FAITH.

Love is all we need to preach , because there is nothing way we can show GOD in the world than LOVE.

I pray for PEACE and serenity to every body 🙏🏽.
tuabudu miti tu
 
Nimekwambia kuwa dini hasa Ukristo ni chombo kinachotumika na watu wakubwa kwa ajili ya kufanikisha azma zao. Kama vile ambavyo ilitumika kwa ajili ya kuuleta ukoloni.

Unapouliza maswali kama hili " miaka 150 iliyopita, hali yetu kama jamii ilikuwaje? tulikuwa tumeungana? tulikuwa na civilization yoyote ile iliyosimama?" inaonesha wazi kabisa hujui hata historia ya kawaida tu ambayo hata babu yako anaweza kukusimulia.

Ingelikuwa hatuna ustaarabu wetu, wakoloni wasingesumbuka kuja kuweka misingi yao huku.
Sisi tuliendelea kwa namna yetu, lakini tuko nyuma katika kuendelea kwa namna zao. Wewe na wapenda dini wenzako ambao mmebumba historia ya Waisraeli ni kuifanya ndiyo ya dunia nzima, mnaona kuwa yeyote asiyefuata ustaarabu wao, basi hajastaarabika.

swali simple nimeuliza, nitajie any City tuliojenga kabla ya Ukristo kuingia, all civilized societies Duniani hujenga Cities, sasa nitajie city tuliojenga kabla ya Ukristo kuja kwetu …
 
Mimi natamani kuishi kama Wamasai.
Na nitaulaani ukoloni hadi siku ya umauti wangu.

lkn hakuna aliyekukataza kuishi kama wao kwa nini hauhamii huko kwenye manyata sasa hivi? unafanya nini JF? hakuna mmasai mwenye access na JF kwa maana hawajui kusoma wala kuandika, kimasai hakiandikiki, hawajadevelop any written language …
 
swali simple nimeuliza, nitajie any City tuliojenga kabla ya Ukristo kuingia, all civilized societies Duniani hujenga Cities, sasa nitajie city tuliojenga kabla ya Ukristo kuja kwetu …
Gao, Mali
Kairwan, Tunisia
Alexandria, Misri
Ghana, Ghana
Fez, Morocco
Kano, Nigeria
Damietta, Misri
Aksum, Ethiopia
Great Zimbabwe, Zimbabwe
Sennar, Sudan

Na kadhalika.
 
lkn hakuna aliyekukataza kuishi kama wao kwa nini hauhamii huko kwenye manyata sasa hivi? unafanya nini JF? hakuna mmasai mwenye access na JF kwa maana hawajui kusoma wala kuandika, kimasai hakiandikiki, hawajadevelop any written language …
Wewe ndiyo wale mnaoweza kuchukia wenzenu shauri ya dini...
 
Maoni binafsi

Dini -ni Kama mfupa mgumu ambao walipewa watu waangaike nao -kuumeza huo mfupa wengi hawawezi kuumeza wala kuuvunja.

The bible is there
Quruan is there

But only few people can use it positively.

Watu wanatengana
Wanabaguana
Wanachukiana

Dini zote zinafundisha UPENDO lakini why people they hate each other.

I'm sure watu wasiotambua maana ya dini ndo huzalisha conflicts , misunderstanding and other negativity.

Dini ni njia ya kukupeleka kwa MUNGU Ila unaweza kufika kwa Mungu bila dini.

It is better to respect someone' else FAITH.

Love is all we need to preach , because there is nothing way we can show GOD in the world than LOVE.

I pray for PEACE and serenity to every body 🙏🏽.
 
Back
Top Bottom