Diplomasia ya hadaa ya Marekani yawekwa wazi. Netanyahu atoa ushahidi

Diplomasia ya hadaa ya Marekani yawekwa wazi. Netanyahu atoa ushahidi

United nations is dysfunctional its high time for the rise of multipolar world order and abandoning the existing unipolar order ,what are the use of rule of law when the advocacy of it are above of it .The world needs to be polarised now. Pray for peace everywhere.
 
Hata hueleweki unachotaka.Wati wanauliwa kwa kimbari wewe kila siku una habari za kuulizwa Hamas.
Hata Guteres anajua kuwa wapo Hamas lakini ameona kwanza azungumzie vifo vya watu mbele ya macho ya walimwengu.

Free Palestinians from Hamas. Ndio anachokifanya myahudi.
Kuwakomboa wapalestina kutoka kwenye makucha ya ugaidi
 
Free Palestinians from Hamas. Ndio anachokifanya myahudi.
Kuwakomboa wapalestina kutoka kwenye makucha ya ugaidi
ajenda ya mateka leo si umeona imebadilishwa na kuwa kuikalia Gaza bila kikomo cha muda.
 
ajenda ya mateka leo si umeona imebadilishwa na kuwa kuikalia Gaza bila kikomo cha muda.
Wasiwape nafasi ya magaidi wa hamas kurudi tena na kujipanga kufanya mashambulizi.
 
Wasiwape nafasi ya magaidi wa hamas kurudi tena na kujipanga kufanya mashambulizi.
Member mwenzao upo huku jf
IMG_20231107_022905.jpg
 
Ni bora kuwa chini ya Israeli kuliko hamas maana kila mara wanaanzisha vita halafu wanakimbia chini ya mahandaki Huku wakiawaacha akina mama na watoto wanateseka
Ni uoni finyu huo.Kwani Hamas iliundwa kwa sababu gani.Ni huu ukandamizaji wa Israel ambao haujakoma.
Hamas ni wajukuu ya waliofukuzwa mashambani na majumbani mwao mwaka 1948.
Hamas wa leo wakifa wote basi wanaozaliwa watakuwa wakali zaidi kuliko hawa mpaka Israel itakapotia akili ama kukubali kuwapa nchi yao au kufutika yenyewe kwa namna Allah atakavyopanga.Kwa sababu dhalimu huwa hadumu katika dunia.
 
Ni uoni finyu huo.Kwani Hamas iliundwa kwa sababu gani.Ni huu ukandamizaji wa Israel ambao haujakoma.
Hamas ni wajukuu ya waliofukuzwa mashambani na majumbani mwao mwaka 1948.
Hamas wa leo wakifa wote basi wanaozaliwa watakuwa wakali zaidi kuliko hawa mpaka Israel itakapotia akili ama kukubali kuwapa nchi yao au kufutika yenyewe kwa namna Allah atakavyopanga.Kwa sababu dhalimu huwa hadumu katika dunia.
Tulia mpewe dozi. Hamna mtu wa kuifuta Israeli
 
Tulia mpewe dozi. Hamna mtu wa kuifuta Israeli
Mtu wa kuifuta hupatikana kwa msaada wa Mwenyezi Mungu.Yeye huwa anasikiliza vilio vya watu waliodhulumiwa
Mara nyingi nimekwambia nashangaa bado hujazinduka kuwa Israel inakwenda na maji.Hamas kama wamefungua mlango tu.
 
Mtu wa kuifuta hupatikana kwa msaada wa Mwenyezi Mungu.Yeye huwa anasikiliza vilio vya watu waliodhulumiwa
Mara nyingi nimekwambia nashangaa bado hujazinduka kuwa Israel inakwenda na maji.Hamas kama wamefungua mlango tu.
Sawa muda ndio utaamua
 
Back
Top Bottom