felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
Ndivyo mnavyodanganyana na kuwatisha wengine..?!80 🥹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo mnavyodanganyana na kuwatisha wengine..?!80 🥹
Acha kutishika na wapumbavu na much know humu..wewe tulia wao nmb ndio wanajua walichokipanga.Tofauti na 80 hamna interview kbs? Ili tufute hilo wazo kabisa jmn
[emoji17]
Acha UNAFIKI wewe.Mi jamani nishaanza kufanya Mazoezi ya intavyuuu maana sijui inakuwaje na sijawah kufanya intavyuuu [emoji4] na lugha yenyewe kuongea Ina kwama kwama labda kuandika 🥹
Huyo ni limbukeni tu Hana loloteAcha UNAFIKI wewe.
UongoooSi ndo huyo fala hapo juu namuuliza analeta ngonjera wakati yeye mwenyewe haelewi NMB ni pana sana mtu unatupwa popote tu Kuna mwaka Jana mtu alipangiwa kwenye account verification tu sasa namuuliza analeta ngonjera za sjui usomi
Naskia watu wanasema ni za kuzunguka huko na huko kutafuta wateja aisee .Hizi sio zile kazi za kuzunguka kitaa unajaribu kutafuta wateja na kulipwa kwa commission ? Yaani hakuna basic....; Kuna Bank Access ilikuwa inatoa sana hizi kazi watu wanaanza baada ya wiki wanaacha yaani mtu unakuta hata nauli yake hairudi kwa siku.....
UNAFIK tena kufany mazoez ya interview Nina 50 nafany mazoez nisipoitwa bs ndo UNAFIK mkuuAcha UNAFIKI wewe.
Kam ni ivyo Bora nilivyo sahau kuomb maan imenipita na kaz za kuzunguk mh stress tupu binafsi sizipend kbisNaskia watu wanasema ni za kuzunguka huko na huko kutafuta wateja aisee .
Rafik angu anafanya kaz bank amesema zaman walikuwa wanalipwa laki 4 na ukisajili mtu unapata commission sas Ivi sales imetolewa ilo freelancer .
Huyu ni mnafiki kweli sasa kama una 50 na umesema passmark ni 80 unasomea oral ya nini kama sio una yako ww?!UNAFIK tena kufany mazoez ya interview Nina 50 nafany mazoez nisipoitwa bs ndo UNAFIK mkuu
Acha uchawi ujaona comment Yangu ? Nenda kanywe chai kwanzaHuyu ni mnafiki kweli sasa kama una 50 na umesema passmark ni 80 unasomea oral ya nini kama sio una yako ww?!
Hii ndio comment ya uyo mnae niita mnafki hamuioni ?Hakuna bhn inategemea na marks watu walio pata Sasa kama wa kwanza kapata 70 je ? Alafu mengine ni bahati pia
Ndo uache kuwaita wenzio kwamba sio wasomi. Umeshindwa kumuelewesha tuu vizuri jamani. Hii dunia ina mambo mengi wote tupo hapa kwaajili ya kutafuta kazi.🙏🏾Hii ndio comment ya uyo mnae niita mnafki hamuioni ?
Huyo ana ulimbukeni hajajua Maisha yanaendaje anajificha nyuma ya keyboard ndaomana anaropoka tu anavojiskia mtu kama huyu ni wa kumpotezea tu hajawa maturedNdo uache kuwaita wenzio kwamba sio wasomi. Umeshindwa kumuelewesha tuu vizuri jamani. Hii dunia ina mambo mengi wote tupo hapa kwaajili ya kutafuta kazi.🙏🏾
🙏🏾 Anyway wakianza kupigia watu wa nmb direct sales zone yoyote tuambizane jamani tujue kama feedback zimeanza kwa waliofanya aptitude test last week.Huyo ana ulimbukeni hajajua Maisha yanaendaje anajificha nyuma ya keyboard ndaomana anaropoka tu anavojiskia mtu kama huyu ni wa kumpotezea tu hajawa matured
Nipe hiyo update namimi