Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Yule mama mtaalamu wa kuuza na kutengeneza nikorogo ya aina zote mjini amefunga ndoa Leo.
Ndoa hii imehudhuriwa na mastaa mbalimbali wa mjini.
Joan ndoa haina mwenyewe hivyo ni wajibu wako kuitunza.
Umeamua mwenyewe kulivaa shela hukulazimishwa hivyo basi jiOngeze. Ndoa ni jambo la heri hongera sana. warumi Dinazarde n.k mnakaribishwa kumpongeza bi mama kwa hili
Ndoa hii imehudhuriwa na mastaa mbalimbali wa mjini.
Joan ndoa haina mwenyewe hivyo ni wajibu wako kuitunza.
Umeamua mwenyewe kulivaa shela hukulazimishwa hivyo basi jiOngeze. Ndoa ni jambo la heri hongera sana. warumi Dinazarde n.k mnakaribishwa kumpongeza bi mama kwa hili
Last edited by a moderator: