Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Hongera kwa ndoa mwayego inaonyesha mikorogo inalipa maana siku hizi wakoboaji wengi mjini nadhani yeye katumia kitaulo
Ila toto lake baya jamani!!!yeye na mange hawachekani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa ndoa mwayego inaonyesha mikorogo inalipa maana siku hizi wakoboaji wengi mjini nadhani yeye katumia kitaulo
Yeye ni celebrity wa nini?
Bongo tuna upungufu wa celebrities?
Huyo hapo na mumewe.
Mhhh hivi director Joan baba yake ni mchina au?maana ana kama uchina flani hivi tofauti na hicho kitaulo..
Huyo bwana alimtangaza insta juzijuzi tu leo ndoa juu
Haya bibi na wewe nenda ukayaone ya ndoa maana ulivyokua unawakuwadia waume za watu sijui yako itakuwaje...
Ila toto lake baya jamani!!!yeye na mange hawachekani..
Mmh maharusi wa siku hizi bana, yani hadi siku ya harusi tunabeba na simu zetu jamani, ndo tunataka tu-update kila tukio au?
Sasa yeye haupendi weusi na kajichubua, afu still anaenda kuolewa na mwanaume mweusi mweeeee si angetafuta mweupe sasa. Mtoto akizaliwa mweusi atamchubua au?
Mmh maharusi wa siku hizi bana, yani hadi siku ya harusi tunabeba na simu zetu jamani, ndo tunataka tu-update kila tukio au?
Sasa yeye haupendi weusi na kajichubua, afu still anaenda kuolewa na mwanaume mweusi mweeeee si angetafuta mweupe sasa. Mtoto akizaliwa mweusi atamchubua au?
Ina maana huo weupe sio wakuzaliwa nao?
Madam ndio anachukua kwake nini mana nimemuona kwenye kipindi chake usoni kawa kma jini kitorondo
Mmh maharusi wa siku hizi bana, yani hadi siku ya harusi tunabeba na simu zetu jamani, ndo tunataka tu-update kila tukio au?
Sasa yeye haupendi weusi na kajichubua, afu still anaenda kuolewa na mwanaume mweusi mweeeee si angetafuta mweupe sasa. Mtoto akizaliwa mweusi atamchubua au?
Ila toto lake baya jamani!!!yeye na mange hawachekani..
Mmh maharusi wa siku hizi bana, yani hadi siku ya harusi tunabeba na simu zetu jamani, ndo tunataka tu-update kila tukio au?
Sasa yeye haupendi weusi na kajichubua, afu still anaenda kuolewa na mwanaume mweusi mweeeee si angetafuta mweupe sasa. Mtoto akizaliwa mweusi atamchubua au?
binamu hujui tunaishi maisha ya location
Itakua aisee ndo kaupatia hapo
Atakua anampigisha vitaulo taratibu mpaka awe mweupe
Mbna jamaa mweusi kma mpoto au nae atapewa kitaulo.huyo msimamizi wke kma hamnazo au ni pozi