Director Joan afunga ndoa leo

Jamani huyo mdada alisomaga kibosho girls?

Hongera joan,ndoa ni jambo jema,na unafanya vizuri kibiashara.
 
Magono ni mtoto wa Ilala Flats...vijana wengi toka pale walikwenda UK na hususana Reading...akina Saidi Molel...Carleoni...na wengineo.

Magono sijui ana mitikasingani lakini brazameni naona maisha ya kibongo ameridhika na kitambi nn noma tupu.

Huyu mwanamke ana pesa au?
 
Kumbe huyu ndio anaye watransform mabinti kutoka uzaramo hadi uzungu.....
 

Sijui km ana pesa au la,ila ana bussiness inayofanya vizuri....inaelekea ni fighter....
 
Sijui km ana pesa au la,ila ana bussiness inayofanya vizuri....inaelekea ni fighter....

Mhhh hilo silijui lakini alumni ya Reading wengi walipigwa bomba na wengine wakarudi bongo

Magori naona kaamua kuoa celebrity na kama kweli huyo mama anauza cancer mpaka milioni moja not bad

Watoto wa mjini tumeamka siku hizo.mwanamke kama hana pesa na baba yake hana pesa ni kwao.

Imagine unapata mtoto wa Rugemalira....
 

Nilikuwa namzungumzia joan mkuu ndio mwenye bussiness...misana misele yake siijui ila alichanja sana hapa uk....
 
Na sura yake kabisa au kajificha uso,,,!!

na sura yake kabisa live hakuna kificho mwanaume ana nyonga huyo balaa yaani sie na uanamke wetu hatumpati lol.....kuna mtu katoa uzi huku kuhusiana na rio na user mmoja username yake loveleen katumwagia mapicha yake akiwa kwenye nyonga live huku kabenua kiuno yuko na kichup tu
loveleen
 
Last edited by a moderator:
Na sura yake kabisa au kajificha uso,,,!!

na sura yake kabisa live hakuna kificho mwanaume ana nyonga huyo balaa yaani sie na uanamke wetu hatumpati lol.....kuna mtu katoa uzi huku kuhusiana na rio na user mmoja username yake loveleen katumwagia mapicha yake akiwa kwenye nyonga live huku kabenua kiuno yuko na kichup tu
loveleen
 
Last edited by a moderator:
huyu director joan sio muuza vitaulo tu ina ni kuadi namba mmoja hapa mjini anakuwadia mpaka mashoga yaan hafai.........

wenzetu wanajifia ocean road kwa kansa wengine wanafanya kuinunua cancer kwa pesa zao yaani sijui lini tutaelimika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…