Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Jamani miss world ishapita au? ???happy imekuwajeeew
Mchanjaji ni ninii
Huyu joan c anabinti mkubwa 2 sura kma y kiume yani kafanana nae sana
Magono ni mtoto wa Ilala Flats...vijana wengi toka pale walikwenda UK na hususana Reading...akina Saidi Molel...Carleoni...na wengineo.
Magono sijui ana mitikasingani lakini brazameni naona maisha ya kibongo ameridhika na kitambi nn noma tupu.
Huyu mwanamke ana pesa au?
Sijui km ana pesa au la,ila ana bussiness inayofanya vizuri....inaelekea ni fighter....
Mhhh hilo silijui lakini alumni ya Reading wengi walipigwa bomba na wengine wakarudi bongo
Magori naona kaamua kuoa celebrity na kama kweli huyo mama anauza cancer mpaka milioni moja not bad
Watoto wa mjini tumeamka siku hizo.mwanamke kama hana pesa na baba yake hana pesa ni kwao.
Imagine unapata mtoto wa Rugemalira....
Na sura yake kabisa au kajificha uso,,,!!
Na sura yake kabisa au kajificha uso,,,!!
Mrembo by Nature na Diva Beyonce nahisi kitaulo kinanihusu make hii color ya ubao wa wanafunzi noumer!
Tafuta km milioni hivi umuwahi director joanMrembo by Nature na Diva Beyonce nahisi kitaulo kinanihusu make hii color ya ubao wa wanafunzi noumer!
Shosti bora ubaki na colour kuliko kutafta cancer ya ngozi bure Baki na colour black is beauty white is juice
Diva BeyonceHongera kwa ndoa mwayego inaonyesha mikorogo inalipa maana siku hizi wakoboaji wengi mjini nadhani yeye katumia kitaulo