Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hivi mwanawe ndo yule neneeeblachyna kiukweli ile mbegu sijui aliitoa wapi walah?Ila toto lake baya jamani!!!yeye na mange hawachekani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mwanawe ndo yule neneeeblachyna kiukweli ile mbegu sijui aliitoa wapi walah?Ila toto lake baya jamani!!!yeye na mange hawachekani..
Whaaaat?Diva Beyonce
Kumbe cku hizi ni pundaDirector wa karolaitii
HahahahahahahaaaaaIla toto lake baya jamani!!!yeye na mange hawachekani..
Zamani alikuwa ana rap pia kwenye kundi lililokuwa kinaitwa badskin ...alikuwa anachana balaaaZamani Joan alikuwa anatangaza channel 10 wakati huo alikuwa bado mdogo mdogo, sikujua alipo long time, ndio nikaanza kumuona juzi juzi hapa kumbe ni business woman siku hizi.
Sio huyo
Mkorogo wake hatare...in bei haswa. Anauza pia nywele kuanzia 300,000 hadi 1,000,000. Joan unilipe nakutangazia biznes hivyo. Mnunulie wifi mkorogo na nywele
Duh!!!Ila toto lake baya jamani!!!yeye na mange hawachekani..
Lyumbaa alioa hpoDuh!!!