Director wa filamu ya Royal Tour aache kumdharau Rais Samia

Director wa filamu ya Royal Tour aache kumdharau Rais Samia

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Nimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.

Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.

Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.

Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.

Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
 
Mheshimiwa kwa nani ?

Heshima inalazishwa ?.., Ni choice yako hata kama ukitaka kumuita mtu Mtukufu hio ni Prerogative yako.., ila sio ulazimishe watu wafanye hivyo...

Mfano kuna watu wanaweza kuona kitu / mtu wewe unachokiheshimu kwamba ni cha hovyo, sasa kuwalazimisha hao nao wakiona kinaheshimika nadhani ni kupitwa na wakati...
 
Mheshimiwa kwa nani ?

Heshima inalazishwa ?.., Ni choice yako hata kama ukitaka kumuita mtu Mtukufu hio ni Prerogative yako.., ila sio ulazimishe watu wafanye hivyo...

Mfano kuna watu wanaweza kuona kitu / mtu wewe unachokiheshimu kwamba ni cha ovyo, sasa kuwalazimisha hao nao wakiona kinaheshimika nadhani ni kupitiwa na wakati...
Amemkosea sana rais wetu...jana nilivyomsikia mh.Rais Clouds FM akimzungumzia huyo director Jinsi anavyomwambia maneno ya dharau nilishangaa sana...rais lazima apewe heshima yake.
 
Nimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.

Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.

Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.

Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.

Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
Okay sawa, ni maoni yako.

Ila heshima hailazimishwi.
 
Nimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.

Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.

Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.

Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.

Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
Wazungu wapo direct dogo
 
Nimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.

Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.

Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.

Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.

Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
Waigizaji film wanadharaulika?

Watu wenye akili ndogo hawaelewi mtu anapokuwa humorous
 
Back
Top Bottom