Director wa filamu ya Royal Tour aache kumdharau Rais Samia

Director wa filamu ya Royal Tour aache kumdharau Rais Samia

Nimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.

Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.

Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.

Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.

Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
Kwanza hakuna mtu hapa duniani ana utukufu. Kwa wenzetu wazungu Rais ni binadamu tu kama mtu mwingine yeyote ndiyo maana Rais hata wa US wananchi wake wanaweza kumnanga na hawafanywi chochote na vyombo vya dola. Refer Trump walitengeneza sanamu yake ya rubber tena iliyo tupu ikatembezwa barabarani watu wanaipiga na kufanya wanachotaka na hakuna aliyekamatwa. Sanasana Police wanalinda tu kusitokee uvunjifu wa amani.

Siyo huku Rais mnamuona kama Mungu mtu.

Angalizo: Siko against Samia

Samia tena 2025!!!!
 
huyo jamaa hana kosa, bahati nzuri wazungu sio wanafki kama watanzania. Hiyo kazi ndio anayoiweza huyu ndugu yetu kwahiyo ni sahihi kupewa ushauri kama huo aliompatia. Hata mimi ukiniuliza nitakujibu Samia nilimpa kura ya kuwa makamu tu si vinginevyo, bado sijapiga kura nyingine ya kumfanya awe tofauti na umakamu. Kilichotokea sasa ni sawa na mtu anapita mahali akaokota embe, atakavyolila embe lake ni tofauti na yule ambaye akatafuta hela na akaenda kununua embe sokoni...heshima zao ni tofauti kabisa 😀
Kumbe huwa mnapiga kura tu bila ya kuelewa maana yake!!! We have a very long way to go!!! Hukujua maana ya mgombea mwenza!!!
 
Mzungu hata Mzazi wake humwita kwa Jina lake tena la kwanza.
Ni utamaduni wao, hana nia mbaya.
 
Nimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.

Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.

Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.

Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.

Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
Nani? Unamaanisha Rambo?
 
Kwani uongo?

Anafaa uigizaji na sio uongozi, tena apewe scènes za kichawi kama yule Bi Mwenda atapendeza sana.

Uliona alivyovua samaki mkubwa? [emoji476] [emoji16][emoji16][emoji16]
Mnalo hilo hadi 2030, labda Mungu aamue vinginevyo.
 
Hii scene gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_16513854517096803.jpg
 
Nimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.

Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.

Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.

Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.

Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
Ushawahi kusikia mheshimiwa JOE mara kwa mara kwenye media za US au UK? Mheshimiwa ni kila mtu ata wewe ni mheshimiwa , sasa unavyomhita mtu mheshimiwa nani mzalauliwa?😀😀
 
Nimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.

Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.

Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.

Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.

Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
Mh ukiona haitwi muheshimiwa basi thamani yake ipo chini na kuna vitu sio vya kulazimisha[emoji41]
 
Back
Top Bottom