Director wa filamu ya Royal Tour aache kumdharau Rais Samia

Director wa filamu ya Royal Tour aache kumdharau Rais Samia

Amemkosea sana rais wetu...jana nilivyomsikia mh.Rais Clouds FM akimzungumzia huyo director Jinsi anavyomwambia maneno ya dharau nilishangaa sana...rais lazima apewe heshima yake.
Hata hivyo mama kampenda sana director🤣🤣🤣😀😀😂 jamani peeeter hukuliona hilo😂😂😂😂
 
Hata hivyo mama kampenda sana director[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji23] jamani peeeter hukuliona hilo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utapimwa mkojo ohooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
IMG_6525.jpg
 
Nimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.

Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.

Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.

Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.

Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
Raisi mwenyewe alisema ilibidi Uraisi auweke pembeni wakati wa kuigiza maana kuna wakati scene moja alikuwa anairudia mara 10 angesema sirudii ingekuwaje

sasa sijui shida yako iko wapi
 
Well, heshima ni muhimu kuionuesha kwa kwa mwenye mamlaka kwa niaba ya wengi waliompa hayo mamlaka, hata kwa unafiki, tuonyeshe heshima
 
Hayo maneno yao tumeyataka wenyewe sasa twaiona konko na kulalamika lalamika
 
Amemkosea sana rais wetu...jana nilivyomsikia mh.Rais Clouds FM akimzungumzia huyo director Jinsi anavyomwambia maneno ya dharau nilishangaa sana...rais lazima apewe heshima yake.
Alilitaka mwenyewe, angeweza kuizindua filamu kupitia video conference badala ya kwenda huko, pia kwa Rais kukaa kwenye nchi nyingine yenye Rais kwa wiki mbili ni jambo la kushangaza kwa wenzetu, tusimlaumu ila tujifunze.
 
Back
Top Bottom