Hata hivyo mama kampenda sana director🤣🤣🤣😀😀😂 jamani peeeter hukuliona hilo😂😂😂😂Amemkosea sana rais wetu...jana nilivyomsikia mh.Rais Clouds FM akimzungumzia huyo director Jinsi anavyomwambia maneno ya dharau nilishangaa sana...rais lazima apewe heshima yake.
Utapimwa mkojo ohooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata hivyo mama kampenda sana director[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji23] jamani peeeter hukuliona hilo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Raisi mwenyewe alisema ilibidi Uraisi auweke pembeni wakati wa kuigiza maana kuna wakati scene moja alikuwa anairudia mara 10 angesema sirudii ingekuwajeNimeshtushwa na maneno ya dharau ya huyu director wa filamu inayotangaza utalii nchini Tanzania ya Royal Tour kwa rais wetu Bibi Samia Suluhu Hassan.
Amemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.
Vile vile anamuita mtukufu rais kwa jina lake ''Samia", baada ya mh.rais.
Hata mh.Rais mwenyewe kashangaa , anasema huyu jamaa amesahau kama yupo nchini Tanzania.
Rai yangu huyu jamaa aache kumdharau rais wetu.
Hata sisi tunajua kuwa na wao hawana Rais. Fanya yako mkuu, wao kujua au kutokujua hakuleti ugali mezani kwako wala kubadilisha lolote. Kubali tu kuwa yule Muuaji kafa na taifa limepona.Hata Wazungu wanajua Hapa Hatuna Raisi
[emoji28]Raisi mwenyewe alisema ilibidi Uraisi auweke pembeni wakati wa kuigiza maana kuna wakati scene moja alikuwa anairudia mara 10 angesema sirudii ingekuwaje
sasa sijui shida yako iko wapi
Rais ni binadamu kama mm na ww.Hata Wazungu wanajua Hapa Hatuna Raisi
Hakiaya nani nimecheka ,kuna picha imenijia hapaAkiacha tu urais anapewa scene za kuigiza uchawi..[emoji1787]
Rais hafanyi maigizo, lakini Samia aweza kuigiza. Jitie ufahamu !!Well, heshima ni muhimu kuionuesha kwa kwa mwenye mamlaka kwa niaba ya wengi waliompa hayo mamlaka, hata kwa unafiki, tuonyeshe heshima
Alilitaka mwenyewe, angeweza kuizindua filamu kupitia video conference badala ya kwenda huko, pia kwa Rais kukaa kwenye nchi nyingine yenye Rais kwa wiki mbili ni jambo la kushangaza kwa wenzetu, tusimlaumu ila tujifunze.Amemkosea sana rais wetu...jana nilivyomsikia mh.Rais Clouds FM akimzungumzia huyo director Jinsi anavyomwambia maneno ya dharau nilishangaa sana...rais lazima apewe heshima yake.
Ewaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] director nitakuwa mimiAkiacha tu urais anapewa scene za kuigiza uchawi..[emoji1787]
Toa na jina la filamuEwaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] director nitakuwa mimi
Wewe ndiye una -ve perception, kuna kibaya gani hapoAmemshauri mh.Rais aache urais awe muigizija, kwani amevutiwa na uigizaji wake.
Vampires n Demons [emoji23] [emoji1550][emoji1550][emoji1550]Toa na jina la filamu