G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Na hao wawili watawapeleka wapi??Kma umeangalia mpira sina cha kuongeza, nawakilisha kma ilivyo hapo juu
Mwanaume unatumiaje neno jamaniJamani mshaanza visingizio,alafu yanga wamecheza simple sana lahiri wangeamua kufungulia koki ingekuwa aibu nyingine
Ongeza na MASHABIKI
We wamkoa gani wewee!.......mbona mshamba hivi?Mwanaume unatumiaje neno jamani
Unakuwa kama mwanamke
Ndio la kikeWe wamkoa gani wewee!.......mbona mshamba hivi?
Neno JAMANI ni lakike?
Hebu niambie huko mkoani kwenu neno la kiume ni lipi?
Oyah, sio poa, kweli Tanzania kubwa, sio kwa hili.