G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
- Thread starter
- #21
Wanahitqjika Yanga kwa wazee wenzaoNa hao wawili watawapeleka wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanahitqjika Yanga kwa wazee wenzaoNa hao wawili watawapeleka wapi??
Hicho kiwango cha yanga ndicho cha mwisho, hakuna maajabu mengne, subir watoto wa Simba wazoeane tu, kuna siku utakumbuka hii msgJamani mshaanza visingizio,alafu yanga wamecheza simple sana lahiri wangeamua kufungulia koki ingekuwa aibu nyingine
Una hela ya kumtoa?Vipi kanji tumbakishe?
Kweli kwa jinsi alivyoongelewa,,,lkn tumpe muda kdgo mkuuSimba imekamilika shida ni yule Ahoua tuu hamna shughuli.
Mtabadili semi mno, ila kibano kitawahusu tuHicho kiwango cha yanga ndicho cha mwisho, hakuna maajabu mengne, subir watoto wa Simba wazoeane tu, kuna siku utakumbuka hii msg
Acha upumbavu wewe. Kila siku mnakazwa hamkomi tuHicho kiwango cha yanga ndicho cha mwisho, hakuna maajabu mengne, subir watoto wa Simba wazoeane tu, kuna siku utakumbuka hii msg
Kanye huko eti wazoeane kwani wameoana??Hicho kiwango cha yanga ndicho cha mwisho, hakuna maajabu mengne, subir watoto wa Simba wazoeane tu, kuna siku utakumbuka hii msg
Alafu anajiona wa kiume,kuchamba wanaume wenzako kama demu,We wamkoa gani wewee!.......mbona mshamba hivi?
Neno JAMANI ni lakike?
Hebu niambie huko mkoani kwenu neno la kiume ni lipi?
Oyah, sio poa, kweli Tanzania kubwa, sio kwa hili.
Tuna kikosi kizuri hatuna timu bado. Wachezaji wakishatengeneza chemistry kikosi kikawa timu, Simba itakuwa bora mno. Yanga wapo kwenye peak, walishatengeneza timu na wachezaji wanafahamiana.Hicho kiwango cha yanga ndicho cha mwisho, hakuna maajabu mengne, subir watoto wa Simba wazoeane tu, kuna siku utakumbuka hii msg
Debrah hawez kumuweka ngoma benchi? Seriously? Debrah ndio amecheza vizur mwepesi kuliko hata ngoma, angalia ngoma alivyoingia yanga wakaanza kupanda sana? Hilo ni tatizo la namba 10 ?Hao huwezi ukawaona sababu hauna namba kumi mpaka sasa.Mechi ya juzi na ya leo namba kumi imepwaya.
Halafu kumbuka zile offside za Pacome na Aziz yote magoli yale,bado hujaja kwenye tuta la Aziz.
Yule Deborah hawezi kumweka benchi ngoma,sababu anapoteza mipira mingi hata kukaba kwake hana tofauti na Ngoma alicho mzidi speed.
Deborah kwangu hajacheza vizuri sababu alipoteza mipira mingi sana tena kwenye zone yake,ngoma hana speed ila upande wa kupiga accuracy pass yupo vizuri kuliko Deborah.Debrah hawez kumuweka ngoma benchi? Seriously? Debrah ndio amecheza vizur mwepesi kuliko hata ngoma, angalia ngoma alivyoingia yanga wakaanza kupanda sana? Hilo ni tatizo la namba 10 ?
Ngoma no longer haendani na kasi ya simba , mzamiru, kapombe, kibu. Hawa watu ni choka mbaya
Mzamiru umri umeshamtupa mkono ishu ya kocha msaidizi wa kudumu Matola inajulikana muda mrefu ni mnafika na mpika majungu.Mzamiru vp nae aendelee kusalia simba hadi uzee umkute simba? Sina imani na matola kila akirejea simba timu haishindi kwenye mechi ya kushnda kama hii ya leo
Ila wana kombe kabatini linaitwa SOLD OUT.Baada ya simba day, ni wakati sasa wa kuanza malalamiko.
Hata kibu atafutiwe mbadala pale mbele kunatakiwa strekaaa sio wakimbia riadha..Kma umeangalia mpira sina cha kuongeza, nawakilisha kma ilivyo hapo juu
Mkishafanikiwa kuwaondoa hao, mechi ijayo mkifungwa tena, ondoeni mashabiki...!!Kma umeangalia mpira sina cha kuongeza, nawakilisha kma ilivyo hapo juu
Kaka have some respect debrah ndio kiungo anategemewa kwa sasa, the guy is good. Ngoma ni mzito kufanya maamuzi, mzito kukimbia, debrah hana hivo vitu halaf si wa kupiga pasi za nyuma sana.Deborah kwangu hajacheza vizuri sababu alipoteza mipira mingi sana tena kwenye zone yake,ngoma hana speed ila upande wa kupiga accuracy pass yupo vizuri kuliko Deborah.
Kapombe na Mzamiru ni muda wa kocha kufanya maamuzi magumu hata Shabalala.Kaka have some respect debrah ndio kiungo anategemewa kwa sasa, the guy is good. Ngoma ni mzito kufanya maamuzi, mzito kukimbia, debrah hana hivo vitu halaf si wa kupiga pasi za nyuma sana.
Kupoteza mipira si tatizo la mchezaji ni combination ya wanaomzunguka
Debrah atoke, kapombe je , mzamiru? Hao walikuwa wanacheza nini?
Shabalala anatesa Sana mabeki wenzake yeye anawaza kushambulia.Mmbadala wa Kapombe Na Mohammed