Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Mkuu,sasa mambo ya ku-edit hayaharibu
 
specification ipo huu mfumo nimeshausoma kwa umakini na kujua unavyofanya kazi........ fanya hivi anza kuchagua somo moja moja utajua hilo somo shule zip zinahitaji
Nimekuelewa, na hapa wengi chaka wameingia.
Upo sahihi.

Sasa unaeza taka Fanya editing, mtandao ukazama mazima
 
Kama huna uelewa vya kutosha, nenda stationary usaidiwe..usikomae mwenyew tu geto
 
hahhaha kwaio wote mnaomba ajira hizi mmekuja na id mpya.
utadhani sio nyie mliojiajiri nakutusumbua sumbua humu.
Mbona mimi mwanachadema, nime apply na bado natumia Id hii hii kuwaimiza raia waikatae ccm
 
Kuichagua ccm ni kuchagua mateso ndani ya miaka mingine mi 5. Haiwezekani serikali ya ccm kwa zaidi ya miaka 50 imeshindwa kupambana na maadui watatu wa taifa hili(umaskini, maradhi na ujinga) na ameongezeka adui mwingine wa 4 ambae ni rushwa.
 
Lini tunapangiwa post ili tujijue mapema kama tumo/hatumo!
jaribu kuwa na subira japa kidogo,, vijana wenzako walisubiri hizi nafasi kwa miaka mitano so kuwa na uvumilivu tuu angalau hapa mwanga umewaka ndani ya miezi michache kama una vigezo vya kuwapiku mwenzako kama ufaulu bora,, mkopo, masomo ya science. nafasi zipo wazi kama una vigezo..etc
 
Niko Bagamoyo,na ile niliyolipia mara ya kwanza inaenda bure?na nikilipia itachukua mda gani kupata
 
Niko Bagamoyo,na ile niliyolipia mara ya kwanza inaenda bure?na nikilipia itachukua mda gani kupata
Nenda pale NECTA utafanyiwa equivalence. Inaweza chukua siku 3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…