Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
Kabisa mkuu.Tunaamin ajira zitatoka kabla ya uchaguz kuanzia 21st October to 27th October hyo wiki ya maajabu, jamaa alisistiza anaajiri waalimu 13,000 kuongeza nguvu juz alipopiga simu kufuta tangazo, aliloiita upumbavu lipuuzwe
Issue nije utakuwemoo ?!Kama pesa imetengwa na mchakato umeanza itakuwa vema tusubir tukae mkao wa kula
Duuuh 2018 juzi tu ,halafu wa 2015 hawana nafasi kubwa sio??Issue nije utakuwemoo ?!
Maana wenye nafasi kubwa ni waliomaliza 2018.
duuuuuh Mungu atusimamieMkuu hadi pesa za kujikimu zimeshatengwa, hivo basi muda wa maandalizi utakuwa mchache sana kwa wale wataochaguliwa.
Pia kutokana na shida ya ajira kene Oteas walioomba ajira si tu walimu, Bali
Waliosoma IT
MaEngeneer
WaKilimo
WaAfya
F6Leaver e.t.c
Maana mfumo bado unamakosa mengi, yoyote anaweza kuomba, maana pia sio gharama kuomba, ni suala la' bando' tu na 'App ya Camscaner'
Hivo basi, Jopo liko makini mnooo, kuondoa contradictions.
Kwann 2018 pekee wana nafasi??Issue nije utakuwemoo ?!
Maana wenye nafasi kubwa ni waliomaliza 2018.
Taarifa zako nimeanza kuzitilia mashaka!. 2018?Issue nije utakuwemoo ?!
Maana wenye nafasi kubwa ni waliomaliza 2018.
Tunatofautiana source Ila tarifa nilizonazo toka juzi walikuwa hawajakaa, na ajira sio za kutoka mwezi huuMkuu hadi pesa za kujikimu zimeshatengwa, hivo basi muda wa maandalizi utakuwa mchache sana kwa wale wataochaguliwa.
Pia kutokana na shida ya ajira kene Oteas walioomba ajira si tu walimu, Bali
Waliosoma IT
MaEngeneer
WaKilimo
WaAfya
F6Leaver e.t.c
Maana mfumo bado unamakosa mengi, yoyote anaweza kuomba, maana pia sio gharama kuomba, ni suala la' bando' tu na 'App ya Camscaner'
Hivo basi, Jopo liko makini mnooo, kuondoa contradictions.
Sawa endelea kubisha, natamani nikupe na screen shortTunatofautiana source Ila tarifa nilizonazo toka juzi walikuwa hawajakaa, na ajira sio za kutoka mwezi huu
Sawa.Taarifa zako nimeanza kuzitilia mashaka!. 2018?
Swali zuri baadae, nitakuwekea jibu. Ngoja kwanza nichape kazi.Kwann 2018 pekee wana nafasi??
Upo jikoni?Never hata shortlist bado hawajaanza
Tangazo limeishia 2019, kila mtu ana nafasi ya kupitaIssue nije utakuwemoo ?!
Maana wenye nafasi kubwa ni waliomaliza 2018.
3500 ilikua chache sanaTena wa 2018 walipata fursa mwaka jana wakapishana na ajira
Ratio za ajira na applicant haziwezi kukaribiana hata sku 13500 ilikua chache sana
Mwigine atasema wanawake kwanza, kila mtu atasema lake kikubwa tangazo lipo clear kwakila mtu.Issue nije utakuwemoo ?!
Maana wenye nafasi kubwa ni waliomaliza 2018.
Jk ilikuaje kabla huyu Jiwe hajaja na mandege?Ratio za ajira na applicant haziwezi kukaribiana hata sku 1
Wewe unangalia ajira za walimu tu. Kuna kozi kibao toka 2000 ziko mtaani tuJk ilikuaje kabla huyu Jiwe hajaja na mandege?
Tangu 2000?Wewe unangalia ajira za walimu tu. Kuna kozi kibao toka 2000 ziko mtaani tu
Wewe unafikiri kila aliyemaliza chuo amepata nafasi ya ajira kama ajira zenyewe zinahitaji network ?Tangu 2000?
Miaka 20 hajapata ajira, huo huongo.
Nimekuuliza kipind cha JK ilikuaje kabla Jiwe hajaja na mareli yake?