Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Tunaamin ajira zitatoka kabla ya uchaguz kuanzia 21st October to 27th October hyo wiki ya maajabu, jamaa alisistiza anaajiri waalimu 13,000 kuongeza nguvu juz alipopiga simu kufuta tangazo, aliloiita upumbavu lipuuzwe
Kabisa mkuu.
 
duuuuuh Mungu atusimamie
 
Tunatofautiana source Ila tarifa nilizonazo toka juzi walikuwa hawajakaa, na ajira sio za kutoka mwezi huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…