Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
Huu mwaka '2020' vijana walijitahidi, kusambaza taarifa za upinzani kupitia social media, uwepo kene kampeni, kupiga kura.Hakuna anayemuombea mtu mabaya, ila sisi vijana tulipaswa kuwa chachu ya mabadiliko ya kiuongozi wa taifa hili, badala yake tumeendelea kuwakumbatia maccm wanaotufilisi kila uchwao
Mkafikia wapi mana mwenye mbwa kaenda ubelgiji!Niliandamana
Mkuu neno ulilotumia sio zuri, plz kijana usijiwekee mipaka katika maisha yako.Mkafikia wapi mana mwenye mbwa kaenda ubelgiji!
Mkuu neno ulilotumia sio zuri, plz kijana usijiwekee mipaka katika maisha yako.Mkafikia wapi mana mwenye mbwa kaenda ubelgiji!
hahahahahahah au sioHabari majina ya Walimu yametoka tayari.Tembelea www.tamisemi.go.tz
Serikali ya Awamu ya Tano Ni ya vitendo
Hapa Kazi tu.
Niwiwe radhi kwa hilo.Mkuu neno ulilotumia sio zuri,
Kwa nn hivo mkuu?Hadi comments zifike buku ndo tunatoa majina!
Wanasubiri nini sasa, waachie hukumu ijulikane moja!Kila kitu Tamisemi washamaliza bado kuachiwa tu.Vijana kuweni wapole kila kitu kipo sawa.Wenye Bahati zao watapata nafasu
Unaonekana unakibuli na dharau wakati unakesha humu kuulizia ajira hewa!Niwiwe radhi kwa hilo.
Maneno aliyotumia sio mazuri kiukweli, tukiweka politics aside. Ila kwakuwa kaomba radhi, yapasa kusamehe na kusonga mbeleUnaonekana unakibuli na dharau wakati unakesha humu kuulizia ajira hewa!
Tuma hiyo pdfMAJIBU YA AJIRA ZA WALIMU 13,000 TAMISEMI
Orodha ya majina yote ya watu waliofanikisha kuomba Ajira Mwaka huu Septemba. Tazama Hapa
Link ya uongo,chill majina yatatoka tuMAJIBU YA AJIRA ZA WALIMU 13,000 TAMISEMI
Orodha ya majina yote ya watu waliofanikisha kuomba Ajira Mwaka huu Septemba. Tazama Hapa
Mwalimu una Lugha ngumu.Acha zegwe tuliza hicho kipochi manyoya..
ππππππatakuwa ni engineer huyoMwalimu una Lugha ngumu.
Dah mnawaadaa watu mjueLink ya uongo,chill majina yatatoka tu