Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

yaani mkuu huu sio muda wa kuhojiana kuonyeshana ujuzi wa mambo we kama unajua toa majibu kwa msaada wa wengine baba angu, kwani kuna ugumu gani kiongozi
Sasa wew umeambiwa tuma barua ya maombi ya kazi...una hoji nin tena wakat inatakiwa barua?
 
Hivi unaifahamu vizuri mipaka ya Halmashauli ya Mpwapwa? Kufika Rudi unaona umeimaliza Mpwapwa Kabisa.

Anyway uzuri/ubaya wa JF kila mtu anajaribu kuwa smart kuliko mwingine, mimi siko ivo. Ukiuita huo nilioandika uongo nakukubalia napita ivi.
Nimeishi sana mpwapwa ila jamaa unaonekana mwongo balaa
 
Habari za muda huu wakuu,

Naomba kuuliza kama kuna mtu alishawahi fanikisha maombi ya ualimu kwenye mfumo wa TAMISEMI yaani OTEAS Kwa kutumia majina mawili pekee?

Maana mimi vyeti vyangu vya shule vyote vina majina mawili lakini mfumo unataka majina matatu ingawa kwenye cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha taifa yapo majina yote matatu

Je nikitaka kuweka jina la tatu naruhusiwa au kuna utaratibu mwingine natakiwa kufuata?
Utatakiwa ule kiapo ili hivyo vyeti vyako viwekwe majina matatu
 
Nimeishi sana mpwapwa ila jamaa unaonekana mwongo balaa
Pole sana mkuu. Sikua na lengo la kukudanganya. Bahati mbaya hujaamini. Sio kosa langu.

Nenda dodoma stand ya kikuyu panda gari yakwenda Ipera. Usiende jumapili hakuna usafiri. Ukisharudi uwasimulie na wajumbe ulichokiona. Kisipofanana na nilichosema mimi naacha kutumia JF.

Ivi kwani Mpwapwa imenifanyia nn mpaka nikudanganye experience yangu kule.

Anywayay, tufanye mimi ndo muongo, wewe ndo mkweli. End of story.
 
Hivi haya Maputo yanasubiriwa kwa mda gani maana saa la 3 bado yanazunguka
 
Back
Top Bottom