Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Nimefanikiwa Ku submit application muda wa SAA 5usku huu. Ni kujaribu Mara nyingi bla kukata tamaa. Hizo message za error zisikutishe...ni Ku cancel then una load tena. Nmekutana nazo sn tu....ni ishu ya mtandao tu wala hujakosea mahal. Try.....try......try and try.... Until you get it .
Nipe maelekezo ya hizi page mbili za mwisho Yani teaching subject na choices
 
kutwa nzima mfumo unasema ''service temporary unavailable''. Haya mambo ya mifumo bongo naona kama tumekurupuka, hatujawa tayari kiteknolojia. Hata ukisubiri usiku kazi bure.
Sasa ndo dunia ya Sasa dada , sema waimprove tu
 
teaching subect ni masomo utayofundisha na choice ni sehemu utazoenda kufanya kazi make sure ziwe 5
Mbona najaza izi page Ila sioni Ila nikifika choices , nachagua sioni kitu , nimejaza hizi kada za engineering
 
Naomba kujuzwa vipi muda gani network huwa inatulia nataka kutafuta laptop nianze kuomba
 
Itabidi nitafute PC week end hii nifanye hii kazi usiku saa 6 -10. Nitakuwa nimemaliza.
 
Wakuu mm nimefanikiwa kutumia maombi watu wawili na imecomplete within 30 minutes
 
Nikifika hapa ndo mauzauza yanaanza! Labda nakwama wapi??? au nyie wadau mnasolve vipi hii issue ikitokea..dah aisee Screenshot_20200911-080133.png
Screenshot_20200911-080133.png
 
Umetumia Kompyuta au Simu? Tunaotumia simu inasumbua sana, nafikili labda kwasababu screen size ya simu ni ndogo.
Computer Mkuu....jaribu bila kukata tamaa....muda mzuri SAA 3 mpaka 6 usiku....kuna kaunafuu wa jam mtandaoni...nahisi watu wanakua wanatafuta ridhki kujaza matumbo...pia SAA 11 mpaka 12 asbuh wengi wanalala baada ya kukesha wakihangaika bila mafanikio...so mida hii MTU anaamua alale japo lepe la usingz
 
hongera mkuu. mimi nimejaza kila kitu naambiwa incomplete application
Kuna mahali itakua hujajaza kitu....click back ucheki in detail kila hatua km umejaza....vyeti umepandisha vyote?
Umefika mpaka kwenye submit?
 
Unaandika jina la chuo mwenyewe Mkuu.pia jina la kozi uliyosoma unaliandika mwenyewe...
Kwa sisi wenye bachelor za uhandisi tunajaza masomo yapi. Hafu kwenye application letter Kuna sehemu ya kuchagua chuo tunafanyaje Mana naona sioni option yoyote
 
Chagua masomo au some ulilosomea kifundisha kisha add....litaonekana chini....km una somo zaid ya moja rudia tena kuchagua somo lako la pili then add.... Utayaona yote chini pale....Fanya hivo mpaka masomo yako yaishe. (Kwa sekondar mwisho mawli )....click next itakupeleka kwny choices..chagua mkoa .
Wilaya Na shule then add. ..Fanya hivo upate machaguo kadhaa....then submit
Nipe maelekezo ya hizi page mbili za mwisho Yani teaching subject na choices
 
Back
Top Bottom