Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Tuliambiwa tutume maombi ya ajira za ualimu,mimi hapa nina ndugu yangu wote tulisoma ualimu,yeye alishaka tamaa muda tu,mimi nikatuma maombi nakumbuka nilitumia kama 50k katika mchakato wote wa utumaji wa maombi,kuapa na kuthibitisha vyeti kwa mwanasheria,yule ndugu hakutuma maombi yeye alikuja dar kutafuta fursa kutokea mbeya baada ya kukosa ajira...cha ajabu mimi niliyetuma maombi nikakosa ajira ,yeye jamaa alipata na kazi alipangiwa sumbawanga hadi leo hii yupo kazini,sasa hapa sijui kuna mechanism gani inayotumika hadi bado sielewi...kwa hiyo hata sasa lazima tukubali kuna kitu kimekosewa katika hii mifumo ya ajira,vijana wapo wengi mtaani na hawana ajira,hata sisi tulioamua kujiajiri bado mazingira ni mabovu kiasi ambacho hata serikali ikitoa tangazo la ajira,vijana wako radhi waache shughuli zao walizoamua kujiajiri na kutumia kiasi kidogo cha fedha walizotafuta kutuma maombi,halafu mwisho wa siku wanakosa mchongo..tutarajie maumivu mengine tena kwa vijana kupitia hizi ajira

Mfano halisi pia katika ajira za muda za NEC maombi yametumwa 3k lakini waliochaguliwa ni 500 tu katika jimbo fulani la uchaguzi hapa dar,na ile nyomi niliyoshuhudia taifa siku ile dah! Hatari sana,vijana tuna hali mbaya sana sio siri...
 
Kuna jama kaniibia ronja hapa[emoji16]
Kumbe waombaji wa hizi ajira 13000 za mheshimiwa walifika laki3 na ushee, vina kuna haja ya kifanya mambo mengine.
 
Wakuu Salaam;

Ofisi ya Rais-Tamisemi imefungua rasmi dirisha la kutuma maombi ya ajira kwa sekta ya elimu.

Kila aliye na sifa anaweza kuomba ajira hiyo kupitia link ifuatayo :Mfumo wa Maombi ya Ajira .

Kigezo cha kua na kitambulisho au namba ya NIDA kimejumuishwa kama msingi kwa waombaji wote.


Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 21/09/2020.

All the Best.
Naskia majina yametoka tayari
 
Be ready to be surprised before election as the number of voters behind 13500 people is higher than applicants who will not be employed
 
Back
Top Bottom