Dirisha la marekebisho bodi ya mikopo

Dirisha la marekebisho bodi ya mikopo

Mkuu... Kuna mtu namsaidia, kwenye account yake inamtaka aweke cheti chenye uthibitisho wa RITA.. Wakati mara ya kwanza aliweka, arudie hichohicho..? Kuna haja wa muhuri wa wakili/mwanasheria kwenye chetii cha kuzaliwa.!?
Arudie.
 
Mkuu... Kuna mtu namsaidia, kwenye account yake inamtaka aweke cheti chenye uthibitisho wa RITA.. Wakati mara ya kwanza aliweka, arudie hichohicho..? Kuna haja wa muhuri wa wakili/mwanasheria kwenye chetii cha kuzaliwa.!?
Una uhakika Kama kiligongwa muhuri wa RITA Maana huyu nae alisema ka attach cha RITA kumbe ovyo tu
Tumekuja ku view hata hakijawa certified na RITA ndio Tume attach Leo hapa

Kama chako ni attached to RITA basi upload tena
 
Wakubwa..

Katika akaunti ya bodi ya mkopo verification result ikionyesha kwamba cheti cha kifo ni INVALID yani majina yametofautiana na ni kweli kwasababu cheti icho kilikosewa Herufi kwenye majina..

Nifanyaje kusolve tatizo
 
Wakubwa..

Katika akaunti ya bodi ya mkopo verification result ikionyesha kwamba cheti cha kifo ni INVALID yani majina yametofautiana na ni kweli kwasababu cheti icho kilikosewa Herufi kwenye majina..

Nifanyaje kusolve tatizo

Leo mimi nilikuwa kwenye makao makuu ya Helsb, na watu kama ww walikuwa wengi na wenye matatizo kuendana na hayo, obviously majibu waliokuwa wanapewa kwa maana tuliewa kwa pamoja ni kwamba subiri ufanye appeal, yani ilo tatizo hawawezi kusolve kwa kipindi hichi, asante ingawa sijakujibu kama ulivotaka
 
Leo mimi nilikuwa kwenye makao makuu ya Helsb, na watu kama ww walikuwa wengi na wenye matatizo kuendana na hayo, obviously majibu waliokuwa wanapewa kwa maana tuliewa kwa pamoja ni kwamba subiri ufanye appeal, yani ilo tatizo hawawezi kusolve kwa kipindi hichi, asante ingawa sijakujibu kama ulivotaka
Shukran sana mkuu
 
Wakubwa..

Katika akaunti ya bodi ya mkopo verification result ikionyesha kwamba cheti cha kifo ni INVALID yani majina yametofautiana na ni kweli kwasababu cheti icho kilikosewa Herufi kwenye majina..

Nifanyaje kusolve tatizo

Labda ukaape mahakamani kuwa kuwa majina yote Niya mtu mmoja
 
Dah wameniambia jina langu halipo kwenye list ya hiyo namba ya tasaf ... Nifanye je mkuu
Kinachoandikwa ni barua inayokutambulisha kuwa mhusika anatoka katika Kaya isiyojiweza kwa ni miongoni mwa familia inayonufaika na Malipo ya TASAF na namba ya Kaya ndiyo inayoonesha
 
Kinachoandikwa ni barua inayokutambulisha kuwa mhusika anatoka katika Kaya isiyojiweza kwa ni miongoni mwa familia inayonufaika na Malipo ya TASAF na namba ya Kaya ndiyo inayoonesha
Kaya inayo nufaika na TASAF inakuwa imeorodheshwa wana kaya wote.Hivyo majina yao na picha zao zinakuwa kwenye database ya usimamizi wa TASAF.Ili upate hiyo barua ya utambulisho na namba ya TASAF,lazima uonekane kwenye list ya wanakaya walio orodheshwa katika mfumo.Anapokwambia kuwa jina lake halipo,inamaana kuwa hayupo kwenye database.
 
Kaya inayo nufaika na TASAF inakuwa imeorodheshwa wana kaya wote.Hivyo majina yao na picha zao zinakuwa kwenye database ya usimamizi wa TASAF.Ili upate hiyo barua ya utambulisho na namba ya TASAF,lazima uonekane kwenye list ya wanakaya walio orodheshwa katika mfumo.Anapokwambia kuwa jina lake halipo,inamaana kuwa hayupo kwenye database.

Basi tatizo kama hilo ndio limenikuta wamenikosa kwenye database sababu sikuandikishwa maana nimevuka miaka 18 .. na heslb wanahitaji barua .. ndio nishakosa mkopo hivyo 😞
 
Basi tatizo kama hilo ndio limenikuta wamenikosa kwenye database sababu sikuandikishwa maana nimevuka miaka 18 .. na heslb wanahitaji barua .. ndio nishakosa mkopo hivyo [emoji20]

Hivi hakuna namna ya marekebisho yoyote baada ya kuprint
 
Hamna aise .. nimejaribu kuongea nao wanirekebishie ila sijafanikiwa . Mana nilidhani hao System Admin labda wana uwezo wa ku edit

Duh, na pia hakuna option ya kufungua account mpya pia
 
Kazi kwelikweli, m nmehangaika sana bila mafanikio yoyote,
 
Back
Top Bottom