Ukiingia ukiona zote zimewekwa green tick hapo hauna shida ila km kuna sehemu kuna rangi ya chungwa basi jua hapo kwenye rangi ya chungwa palipopigwa X ndio ufanyie marekebisho km kote kumepigwa tick ya kijani wewe upo sawa
Nahisi umeelewa huyu mama awagee vijana wote walioomba pesa za mikopo ili wamtetee kwenye hawa watu wanaomsakama madogo mtaani kugumu mkipewa mkopo someni mselete mdhaha