Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Ukiwa mtumishi jenga mazingira watoto wako wasiwe watumishi Ili kuondoa poverty circleJitahidi sana kwenye utumishi wako utengeneze mazingira ya kujitegemea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa mtumishi jenga mazingira watoto wako wasiwe watumishi Ili kuondoa poverty circleJitahidi sana kwenye utumishi wako utengeneze mazingira ya kujitegemea
Kaja na gia hiyo hiyo mwezi huu December 2021... Sijui kasahau aliyotamka June 2021 [emoji443][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443]View attachment 1829455
Kupitia waziri wa utumishi na utawala bora, mh Mohamed Mchengerwa, serikali iliahidi kupandisha watumishi wake vyeo kwa kada mbalimbali, ikiwepo na kutenga bilioni 300 kwa ajili ya kulipa madai ya malimbikizo ya mishahara.
Lakini siku ya leo baada ya mishahara kutoka kumekuwa na vilio kila kona ya watumishi kutoona mabadiliko kama ahadi ya waziri ilivyokuwa. Suala hili limezua taharuki, ni vizuri serikali ikatolea ufafanuzi mapema kuhusu suala hili.