Hoja yako haina mashiko. Tafuta hela KakaView attachment 2843066View attachment 2843067View attachment 2845421View attachment 2845424View attachment 2845425
Hizi gari watu wamezishobokea kindezi.
Lilikua ni suala la muda tu kuanza kutelekezwa kwenye gereji zetu uswazi.
Hapana mkuu, haijawahi kutokea hii kitu. In the long run Range Rover heaabu yake lazima isome juu, at least kwa uzoefu mdogo na shuhuda kadhaa. Labda kama una mifano au kama unaongelea service ya oil peke yakeService ya Range Rover ni much cheaper than ya Landcruiser ujue. Msikuze maneno. Halafu ubora wa gari (second hand) ni vitu vitatu:-
1. Imepatikana wapi,
2. Angalia ya mwaka gani (usinunue gari ambayo ilitengenezwa zaidi ya miaka 5),
3. Ina kilometre kiasi gani(madogo isiwe zaidi ya 60,000 KM)
Leo ipo inafanyiwa service CMC ndugu yangu. Ni rahisi huwezi kulinganisha na V8 bila 5M hufanyi serviceHapana mkuu, haijawahi kutokea hii kitu. In the long run Range Rover heaabu yake lazima isome juu, at least kwa uzoefu mdogo na shuhuda kadhaa. Labda kama una mifano au kama unaongelea service ya oil peke yake
Unaweza kutoa breakdown ya hiyo service ya 5M?? Na inafamywa baada ya muda gani? Na vipi range rover ya mwaka kama huo kwa service inayofanan na hiyo ya landcruiser. Inawezekana sielewiLeo ipo inafanyiwa service CMC ndugu yangu. Ni rahisi huwezi kulinganisha na V8 bila 5M hufanyi service
umeona receipt nilizoweka ila kwa usalama nikaziondoa?Unaweza kutoa breakdown ya hiyo service ya 5M?? Na inafamywa baada ya muda gani? Na vipi range rover ya mwaka kama huo kwa service inayofanan na hiyo ya landcruiser. Inawezekana sielewi
Bahati mbaya sikuziona ila ungeweza kuziba info muhimu kama jina la kampuni, jina la mteja, registration numbe n.kumeona receipt nilizoweka ila kwa usalama nikaziondoa?
Unania gari A ukafunge engine B?Range Rover....kama nikifunga engine....gear box....diff ya Toyota...hapo vep.
Kweli ata japan pia na ardhi ya kule ni ya chumvi chumvi pia..Niliwahi sikia sababu kubwa ya hii kutu ni chumvi inayomwagwa huko wakati wa baridi ili kuizuia barafu isigande barabarani, jee hili lina ukweli?
KabisaUnania gari A ukafunge engine B?
Wizo poumbou tena?? Si tulikubaliana ww MSHANGAZI πππNa vipi sisi tunaondesha baiskeli za FONEX hali imekaaje?
Pedeli ya baskeli ni AFTATU au bei ngapi?
Nikijibamiza pumbu kwenye bomba la baskeli ntapata BIMA ya mashono??
Cc: Extrovert Lamomy dronedrake Yohimbe bark Mshamba wa kusini Mzee wa kupambania
π€£π€£π€£π€£Nikijibamiza pumbu kwenye bomba la baskeli ntapata BIMA ya mashono??
ππππ nilisahau jaman kumbe kweli bana sina pumbuπππWizo poumbou tena?? Si tulikubaliana ww MSHANGAZI πππ
ππ sema maumivu ya kujibamiza mbupu kwenye bomba la baiskeli yasikie tuu kama huna controo lazima uende chini.Na vipi sisi tunaondesha baiskeli za FONEX hali imekaaje?
Pedeli ya baskeli ni AFTATU au bei ngapi?
Nikijibamiza pumbu kwenye bomba la baskeli ntapata BIMA ya mashono??
Cc: Extrovert Lamomy dronedrake Yohimbe bark Mshamba wa kusini Mzee wa kupambania
πππ hatareee wizoππππ nilisahau jaman kumbe kweli bana sina pumbuπππ
Unaugulia maumivu nusu saa πππ sema maumivu ya kujibamiza mbupu kwenye bomba la baiskeli yasikie tuu kama huna controo lazima uende chini.