Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Si tulikubaliana humu JF kila mtu ana discovery 4😂😂😂Na vipi sisi tunaondesha baiskeli za FONEX hali imekaaje?
Pedeli ya baskeli ni AFTATU au bei ngapi?
Nikijibamiza pumbu kwenye bomba la baskeli ntapata BIMA ya mashono??
Cc: Extrovert Lamomy dronedrake Yohimbe bark Mshamba wa kusini Mzee wa kupambania