Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

Hatuzungumzii yaliyopo kwenye makaratasi, tunazungumzia uhalisia. Waingereza akili zao zimeporomoka sana siku hizi. Tukikazana kidogo tu tunawapita
Hizi ni porojo tu. Gari ya Mwingereza huwa na garantee ya miaka 12 bila kutu. Ukinunua gari miaka 20 (ambazo ndizo wengi wetu tunanunua) unategemea nini?.
 
Hizi ni porojo tu. Gari ya Mwingereza huwa na garantee ya miaka 12 bila kutu. Ukinunua gari miaka 20 (ambazo ndizo wengi wetu tunanunua) unategemea nini?.
Discovery 4 zilizopo nyingi Tanzania ni zile za 2009 - 2015 alafu piga hesabu Zina miaka mingapi Toka zimetengenezwa? Hiyo guarantee inakuwa IPO chini ya mmiliki wa Kwanza Kwa hiyo miaka 12 na baada hapo ndipo anauza.
Pia jiulize kwanini discovery zinazotokea Australia hazina KUTU
 
Discovery 4 zilizopo nyingi Tanzania ni zile za 2009 - 2015 alafu piga hesabu Zina miaka mingapi Toka zimetengenezwa? Hiyo guarantee inakuwa IPO chini ya mmiliki wa Kwanza Kwa hiyo miaka 12 na baada hapo ndipo anauza.
Pia jiulize kwanini discovery zinazotokea Australia hazina KUTU
Itabidi tununue za South Africa tu. Na uzuri wa hizi za South wanasema ni nyepesi hata kwenye matumizi ya mafuta ni rafiki haziumizi kama za UK.
 
Nimesema humu repeatedly LR is the most unreliable brand in the motor world. Hii ni fact worldwide ila wabongo wanajidai vichwa ngumu. Google is free, go argue with it.

Inategemea na edition ipi. Si LR zote.
Hizi luxury brands ndio ziko prone
 
Niliwahi sikia sababu kubwa ya hii kutu ni chumvi inayomwagwa huko wakati wa baridi ili kuizuia barafu isigande barabarani, jee hili lina ukweli?
Hii ina mantiki, maana kipindi cha baridi, wale wasafisha barabara huwa wanamwaga mchanganyiko wa chumvi na mchanga kiasi baada ya barafu kutolewa barabarani...

Sent from my SM-S908E using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom