Diss za Nikki Mbishi kwa watu wasiohusika na muziki/sio wasanii

Diss za Nikki Mbishi kwa watu wasiohusika na muziki/sio wasanii

FirstClass

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2016
Posts
1,100
Reaction score
1,363
Japo mpaka sasa jamaa bado yumo ndani ya futi 6, ila si mbaya kama tutajikumbushia baadhi ya Diss line zake kwa wasamalia wema/yani watu wasiohusika na Muziki.

Kwenye 'Over n Over' Jamaa alinena maneno haya kwenda kwa Askari wetu wa usalama barabarani:

'Adimu ka kumpata traffic handsome ... 😂 '


Huyu jamaa bana, sjui maafande wetu walimkoseaga nini tu.

Kwenye 'Over n Over' aliwachana wanaume wa Dar kwa maneno haya.
'..... wanaume wa Dar, wakiisha kula zege wanaadithiana black panthers....😂😂😂

Babu Talent😂😂
Naitwa kaka meneja mzee wa fitina tangu kale/
Mr. Middleman Boss tough wallet Babu Talent/
Natoka Manzese Tip Top Connection/
Huku hatupendi ngumu labda hip hop commercial/
Madee alikuwa anarap nikamwambia hiyo haiuzi/
Siku hizi anaimba video anashootia Sauzi😂😂


Jamaa aliwai kuwa-diss hata watu wanaohitaji faragha😂, watu wasiopenda makuu😂 , wazee wa CHAPUTA. Dah..

Ongeza na wewe.
 
Hahaha.. We n konyo bablai..
Afande sele nimesikia una mashamba, kwaiyo twende sambamba mwanao nadai tunda.../

Mbutananga mna blanda, nakudai mkuu kapanga.../

Wema sepetu na idrisa, naskia hata ile mimba waliigiza.../

I see me somtimes i see jesus, naona malaya tu na si divas.../
 
Kaz gan hii
Afande sele nimesikia una mashamba, kwaiyo twende sambamba mwanao nadai tunda.../

Mbutananga mna blanda, nakudai mkuu kapanga.../

Wema sepetu na idrisa, naskia hata ile mimba waliigiza.../

I see me somtimes i see jesus, naona malaya tu na si divas.../
 
Mi ndo chaklaboty\ chapa ya noti\ siuzi sura mpaka ya post\ hapa mikosi\ kama umemuona papa\ ana smoke weed\ au rapa\ anatalk shit\ na bado anajiita ni boss\ NYINGINE HII Nafunguka mtumwa nakuwa huru\ na great (kanumba) hawezi kufa kwa kusukumwa na lulu\ . hii nadhani ilikuwa dis kwa mkongwe wa tasnia!
 
Hahaha.. huyu mchz huyu ndio maana aliambiwa anadiss na watu wote kwny tasnia
Mi ndo chaklaboty\ chapa ya noti\ siuzi sura mpaka ya post\ hapa mikosi\ kama umemuona papa\ ana smoke weed\ au rapa\ anatalk shit\ na bado anajiita ni boss\ NYINGINE HII Nafunguka mtumwa nakuwa huru\ na great (kanumba) hawezi kufa kwa kusukumwa na lulu\ . hii nadhani ilikuwa dis kwa mkongwe wa tasnia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afande sele nimesikia una mashamba, kwaiyo twende sambamba mwanao nadai tunda.../

Mbutananga mna blanda, nakudai mkuu kapanga.../

Wema sepetu na idrisa, naskia hata ile mimba waliigiza.../

I see me somtimes i see jesus, naona malaya tu na si divas.../
divas hawaendi mawinguni
 
Ahah.. nikki ndiye alimfundisha Stereo kuchora line. Walikutana na One kwa Duke, enzi hzo one yuko na Illmatix. Wakaungana. Wakafanya familia ya Lunduno.. so wale n ndugu zake
Sijawahi kusikia Nikki anamdiss One or Sterio or Nash MC

Sent using Jamii Forums mobile app
20200516_090004.jpeg
 
Wazee wamefua sasa. Wanamwaga povu naona wanapiga , magoti kwa Adamu mchomvu na B.dozen

Mnaninyima Fiesta mnamchukua Ruge ,kuna Muda najisikia kama siitaji marafiki, Rip zizi.

Hapo Juu aliwadisi Chidi benzi na...Q chillah walivyoenda kulia lia kwa clouds na wakaanza kupiga magoti yaani walifanya vitu vya Aibu.
 
Aah noma snaa..
Wazee wamefua sasa. Wanamwaga povu naona wanapiga , magoti kwa Adamu mchomvu na B.dozen

Mnaninyima Fiesta mnamchukua Ruge ,kuna Muda najisikia kama siitaji marafiki, Rip zizi.

Hapo Juu aliwadisi Chidi benzi na...Q chillah walivyoenda kulia lia kwa clouds na wakaanza kupiga magoti yaani walifanya vitu vya Aibu.
 
Back
Top Bottom