Distance(S) ÷ Time (t) ; The most confusing Love equation

M nmewah kuvumilia kwa mwaka tu ila nilivyojua yy ndo champion wa kutembeza ,aaaaaah mm pia nilipea mwingine[emoji23][emoji23][emoji23]
Mnapenda visasi nyie, lakini si Maandiko yanaruhusu mwanaume kua na masuria kwanini using e vumilia zaidi?
 
Hiyo fast, yaani kaenda shule semester ya kwanza tuu kaniletea maigizo, sina hamu bora maigizo ya kina mwijaku.
Pole mkuu ila si ushaponaa, Ogopa sana hasa kama alikua mshamba akapata nafasi yake ya kwanza kutoka nje ya Kijijini kwao uko aga wanajiona wamekua wanyama wanahitaj tu watu wapya wa uko mjini sasa.
All in all Pesa ni tamu kuliko Mapenzi.
 
Hao ndio wazee wa saikolojia ya mahusiano na mapenzi, wanawazuoni, na ukilazimisha saaaana Kwa mda mrefu inakua na FORCE X TIME (FT)= IMPULSE unagain momentum ya kuwa single. Najua wanawazuoni mmenieoewa
 
Tatizo mnaviziana sana si wenginee waume zetu wanakaaga maporini tu chance ya kuonana na mara chache kwa mwaka hata mara 3….

Long distance relationship ni mawasiliano tu amini kwambaa….

Mfano sisi kwa siku tunaongea simu mara 5 na charting za hapa na pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…