Mnapenda visasi nyie, lakini si Maandiko yanaruhusu mwanaume kua na masuria kwanini using e vumilia zaidi?M nmewah kuvumilia kwa mwaka tu ila nilivyojua yy ndo champion wa kutembeza ,aaaaaah mm pia nilipea mwingine[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo fast, yaani kaenda shule semester ya kwanza tuu kaniletea maigizo, sina hamu bora maigizo ya kina mwijaku.View attachment 2863617Kwa unavomjua mpenz wako na unavojijua ipi itakua graph ya penzi lako mkitengani kwa umbali flan?
Pole mkuu ila si ushaponaa, Ogopa sana hasa kama alikua mshamba akapata nafasi yake ya kwanza kutoka nje ya Kijijini kwao uko aga wanajiona wamekua wanyama wanahitaj tu watu wapya wa uko mjini sasa.Hiyo fast, yaani kaenda shule semester ya kwanza tuu kaniletea maigizo, sina hamu bora maigizo ya kina mwijaku.
Mke wangu huwa anajichua,ila kuna siku ataingiliwa tuWanandoa hao nao wawe na upako haswa, leo kuna thread Mamchungaji anasimulia jinsi shughuli za mbali za mumewe zilivyompelekea kujichua licha ya kua na mchepuko.
Nipo poriAtaingiliwa na wahuni, kwanini usijitahid uwe nae karibu Mkuu?
Unaona sasa, raha ya mchepuko awe karibu ukimtaka unamuita unazagamua anaendaChini hupati ila stress unapata na vizinga unapigwa.
🤣🤣🤣🤣🤣Wanandoa hao nao wawe na upako haswa, leo kuna thread Mamchungaji anasimulia jinsi shughuli za mbali za mumewe zilivyompelekea kujichua licha ya kua na mchepuko.