Huna hata ma best friends huko chuoniπsina hela nifanyeje sasa?
ukishaomba tu nao wanaomba, ndo mlivyoπHuna hata ma best friends huko chuoniπ
π³vitoto vyenzie alisema havitaki....anataka akina sisiHuna hata ma best friends huko chuoniπ
Si unawakatalia tuπππ, mnaachana ukishakula tayari.. Afu wanachuo hawanaga mambo mengi, unataka kuniambia ata Afu tatu tatu za chipsi yai huna kweli??ukishaomba tu nao wanaomba, ndo mlivyoπ
Aitoe wapi nae ni afu tatu?Si unawakatalia tuπππ, mnaachana ukishakula tayari.. Afu wanachuo hawanaga mambo mengi, unataka kuniambia ata Afu tatu tatu za chipsi yai huna kweli??
Basi mwache aendelee kula mkono wakeπ³vitoto vyenzie alisema havitaki....anataka akina sisi
Jamaniπππ, anazopewa za matumizi abane .. matumizi yenyewe ndo kama hayoAitoe wapi nae ni afu tatu?
sio kwamba nawapotezea muda?π€£Si unawakatalia tuπππ, mnaachana ukishakula tayari.. Afu wanachuo hawanaga mambo mengi, unataka kuniambia ata Afu tatu tatu za chipsi yai huna kweli??
ππππna sisi na utoto wake tunamwomba pesa vivyohivyoBasi mwache aendelee kula mkono wake
Mama mkinga,baba mpare unadhani mtoto yupojeJamaniπππ, anazopewa za matumizi abane .. matumizi yenyewe ndo kama hayo
Una upendo wa ajabu,, Hadi unawaza side effects π¬ππsio kwamba nawapotezea muda?π€£
Hiyo ni pie haiepukikiππππna sisi na utoto wake tunamwomba pesa vivyohivyo
Na wakinga walivyo wabahiri SasaππMama mkinga,baba mpare unadhani mtoto yupoje
πππ wapare umewaacha wapiNa wakinga walivyo wabahiri Sasaππ
Sema wapare Sijaishi nao, Sina experience kabisa π.. Basi kijana Hana budi kula kwa mikono Hadi pale atakapo...... hata sijui Hadi liniπ¬ππππππ wapare umewaacha wapi
mimi mchaga 100%Mama mkinga,baba mpare unadhani mtoto yupoje
Ndiyo utatomber hela mkuumimi mchaga 100%
π alafu penzi likaendelea au lilikufa?Sijakomoa ila nliconnect to nearby bluetooth[emoji23]