Disturbing video shows Police kill unarmed man in Eastleigh

Disturbing video shows Police kill unarmed man in Eastleigh

I am very disappointed, we have laws for Christ sake. I am very disappointed. IPOA should reprimand him. Very disappointed.
 
Am not commenting anything. Mpaka siku ya bashite iishe. Isijekuwa hii ilikuwa staged siku ya wajinga.
 
the worst mistake u can do is kill a police officer in kenya....terrible death is what the police percieve as the answer
 
Ila kama walisha muarrest kwanini hawakufata legal procedures za persecution?

Hiyo ni wrong kufanya hata kama ni jambazi coz ikihalalishwa hiyo kitu basi ujue kutaibuka civil war soon
 
If you hate Police next time you need help call a criminal....!!
Hao sio polisi bali ni wajinga. Huwezi shika mtu halaf una mpiga risasi km una piga mbwa risasi.
 
Vituko
9e9a6cfd4db352c298d335a872bda871.jpg
ahahaaaaa
 
Wanajiita Gaza hao vijana,kule Dandora na Kayole na mitaa ya Eastlands,Nairobi wanawaua na kuwaibia na kuwavurugia amani raia wasio na hatia.Genge la vijana wachanga lakini maovu wanayoyafanya ni ya kinyama saana hata zaidi ya Polisi!Afu wanafanya mambo yao hadharani eti!Ukiona face book account zao utamaka wanachekesha silaha hatari laivu na wanapost picha kibao za bunda za hela za wizi na bling za kupindukia tena!Wanadhani Dandora ni Jamaica?Manina zao,juzi walimpiga risasi na kumuua afisa wa polisi eti!Walitegemea nini?Lugha wanayoelewa ni hiyo!
 
Those boys killed were rescued by police sometime back after being caught by the people and they were being hacked to death for robbing a business in easily, they were taken in and later released by the courts, they came back to the same antics. I think sometime the police get tired.
 
Mmh sawa! ya wakenya tuwaachie wakenya wenyewe kwani hata sie wanatushangaa kwa hili la Bashite
 
Wanajiita Gaza hao vijana,kule Dandora na Kayole na mitaa ya Eastlands,Nairobi wanawaua na kuwaibia na kuwavurugia amani raia wasio na hatia.Genge la vijana wachanga lakini maovu wanayoyafanya ni ya kinyama saana hata zaidi ya Polisi!Afu wanafanya mambo yao hadharani eti!Ukiona face book account zao utamaka wanachekesha silaha hatari laivu na wanapost picha kibao za bunda za hela za wizi na bling za kupindukia tena!Wanadhani Dandora ni Jamaica?Manina zao,juzi walimpiga risasi na kumuua afisa wa polisi eti!Walitegemea nini?Lugha wanayoelewa ni hiyo!
gaza wako hata githurai na kayole...hawa vijana waovu kwelkwel
 
Back
Top Bottom