Ditram Nchimbi, Zawadi Mauya, Adeyumu Saleh na Ninja hawana uwezo tena wa kuichezea Yanga

buhoro ksl

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2019
Posts
248
Reaction score
246
Kama yanga tunataka ubingwa basi inatakiwa watafutwe mbadala wao, hawa wachezaji wametugalimu sana msimu uliopita kwa kutojituma na kukosa kontro .

Kupitia mechi ya Leo dhidi ya kagera sugar wachezaji hao ukimtoa adeyumu walitaka kurudia makosa ambayo yalipelekea kuzidiwa kimbinu na Kagera.

Ombi kwa mabosi wetu GSM watutafutie wachezaji wenye hadhi ya kuichezea yanga
 
Kama zawadi mauya yule jamaa ni nyoko kabisa....
 
Unamjua zawadi mauya kweli ww na mwenzake wazir junior au umeanza kuwafuatilia wakiwa yangu yanga
 
Ni wachezaji wa kiwango cha taifa ila unapokwenda kupanda kwenye quality standard bado huwaoni pale at least Job anakuja taratibu na kaseke kwa mbali

Kwa kikosi hiki Faisal ameifikia quality anglau anakwenda sambamba na akina Mayele..sijui benchi la ufundi wanawaza nini...unashindwa kumtumia Saidoo unaweka Zawadi?
 
Ni wachezaji wa kiwango cha taifa ila unapokwenda kupanda kwenye quality standard bado huwaoni pale at least Job anakuja taratibu na kaseke kwa mbali...
Nabi ana shida, jana kamchoosha Aucho kwa kumuanzisha Yanick kama CB, partnership yao ilionekana na Feisal ilitakiwa akae juu yao kiungo kibalance. Atafukuzwa very soon na ujinga wake.
 
Ndiyo Mauya jana kasababisha timu ishambuliwe kwa kupoteza mipira na kutokukaba lkn tukumbuke alitufanya tuwe mashujaa mbele ya makolo fc, pili fighting spirit ya yanga ilipungua sana second half, tatu yacouba anakosa sana magoli. Ni mugalu wa yanga.
 
kiwango n ubora wa ditram haviendan n hadhi y klabu kubwa kam Yanga ; ditram at kwny u-squad player hapaswi kuwem kam kwel Yanga wana maleng makubw kimataifa but kw zawadi mauya ,kweny eneo l ktkat y uwanj mbel y mabeki wawil w kati ni holding mzur sn jmaa.. sio mby akiw an anza au at kuw bench warmer!
 
Saidoo majeruhi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…