Diva amwagwa hadharani na Heri Muziki mbele ya watangazaji wenzie, ataka kuzimia

Diva amwagwa hadharani na Heri Muziki mbele ya watangazaji wenzie, ataka kuzimia

Hawa madada na vibenten ngoja wakome, tatizo washapigwa sana papuch zimepwaya hivyo kurizishwa wanahitaji vibenten vkajifunzie kwao. Liwa na wazee wenzio yatosha.
 
Aisee daah. Dogo huyo hata hawaendani. Naye hakutumia akili. Unatembeaje na dogo kama huyo. Haya sasa. Umemtosa kamanda wetu GK anakupa mapenzi ya ki hardcore umefata vibishololo umepata aibu.
 
Yani inakeraa sana hii hali ya wadada kutembea na wtt wadogo. Huyo mtoto nampongeza kajitambua. Na wadada wengi wenye tabia hizi ni wale waliokua wananata nakujiona hawatachacha
 
Wana jF...
Yule binti ambaye mahari yake hadi sasa ni Tsh Million 200 za kitanzania na ambaye ni mtangazaji mwenye mvuto kuliko wote hapa Tanzania leo amefanyiwa suprise ya nguvu na aliyekuwa mpenzi wake anayeitwa Heri Muziki.

Diva alimanusura azimie maana kijana wake amemkana wazi wazi mbele ya watangazaji wenzie jambo ambalo Cute Diva hakutarajia kabisa kwani yeye alitarajia kwenda kutambulishwa hadharani na kwa jamii...
Diva alishamgharamikia sana huyu kijana kwani amemtafutia collabo nyingi na amekuwa akimlipia studio sessions kila leo.....akamkutanisha hadi na Mr paul bila kusahau kumpigia nyimbo zake kila leo kwenye kipindi chake cha jioni.....

Pia huyu kijana inasemekana ameshauriwa amwage Diva baada ya kuanza kufeli kwenye masomo yake pale chuo kikuu......

Pamoja na Diva kutumia mbinu ya kumponda GK kuwa hakuwa romantic bado kijana huyu hakushawishika kabisa na kuamua kumkana Diva hadharani tena mbele ya watangazaji wenzake na kibaya zaidi Diva ndiye iliyeomba interview.....

Kwakweli nimemuonea sana huruma Binti malinzi kwakweli alichofanya mtoto Heri sicha kiungwana kabisa japo ni wazi kabisa si vizuri mtu mzima kucheza na watoto....

Lemutuz na Diva huu si mwezi mzuri kwao

Baada ya kukanwa hadharani Binti Diva amesema yafuatayo.
divatheebawse "Najua napata simu nyingi ila mtanisamehe sana kwa sasa naomba nisiongee chochote kulinda Brand yangu na jina langu.
Interviews zote nikitulia ntawajibu ....
Samahani kwa yoyote aliekwazika...mashabiki. wafanyakaz wenzangu na ndugu jamaa na marafiki!!
Haya ni maisha tu ... "


"Ni ngumu sana kuwa na mahusiano na mvulana uliyepishana naye umri, wanasumbua sometimes"

  • divatheebawse "JAMAN naona mnaumia na mimi ..mnapaza sauti mnalia na mimi mko hapa kwa ajili yangu nasema asanteni sana kwa mapenzi mnayoonyesha kwangu wakati wa kipindi hiki cha majaribio .. mapito kipindi cha huzuni kwangu .... niseme tu nimedhalilishwa...nimefedheheshwa....nimeumia sana sana sana!!
    Yalionikuta ... sikuhisi yangenikuta ... moyo wangu unasononeka sana! Ndio maana sina ata maneno sahihi ya kusema Namuachia mungu pekee yeye anajua...this is a heartbreak! Afu anaekufanyia hivyo yan ni mtu ambae umejitoa extra kwa ajili yake! Sitasema lolote baya . Namuachia Mungu Yaan sijui ata what to do! ..ndio mana sipokei simu sijibu sms za mtu yan i jus wanna handle this kama mwanamke shupavu mwenye nguvu na mwanamke anaejitambua.
    ila nimeumia sana !!"



Pelekeni mambo zenu hukoo sisi tunatetea kinondoni yetu inayochezewa
 
Haya wanawake mnao penda wavulana na kuacha wanaume msilie
 
Hawa nao wakome kudate na wadogo zao.... Hata siku 1 kiben 10 hakiwezi kukuacha salama
 
Nilisikiliza maojiano ya leo tena. Na shilawadu. Vijana kaongea vizuri tu. Mimi nimempenda sana. Diva alitaka kujitambulisha kuwa yeye ndiye anaye mthibiti kijana. Na kumbe walishakorofishana tangu. Na kukubaliana kuishi na kufanya kazi tu.. si vinginevyo. Na wakijubaliana kabla ya kuingia kwenye mahojiano.

2. Inaonyesha kijana apendi kuamriwa na mwanamke wake. Diva utolea amri kila mahali hadi kulazimishwa kuamkiwa SHIKAMOOO.kutumwa kama mfanya kazi wake.

3. Inaonyesha kwamba chuoni ana msichana mwingine au penzi jipya kwa mtoto mweziwee. Na kuachana na MASHANGINGI ya mjii
 
Back
Top Bottom