Diva anaswa akila denda na dogo aliyemzidi umri

Diva anaswa akila denda na dogo aliyemzidi umri

Umalaya ni km ngozi ya mwili huwezi kuibadili zaidi ya kuung'arisha ili upendeze. Maana ht ukijidai mtakatifu mbele ya jamii lkn km umalaya uko nyuma yako IPO cku utajionesha tu.
 
Hawa vijana wa siku hizi nao mchele mchele tu ndo ya kina calisa haya, upo na.goma badala upige mzigo upo bize unapiga picha.
k ni k.....
Hahaha!!

Unanifurahisha sana!!!

Ungekua kidume ungewafundisha kwa nini Mkia uniota kwa Nyuma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Diva na Madame B nani kamzidi umri mwenzie?!
 
Hahaha!!

Unanifurahisha sana!!!

Ungekua kidume ungewafundisha kwa nini Mkia uniota kwa Nyuma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tena.unaota umeangalia chini ukiangalia juu sio mkia huo hiyo ni antena
mbuzi mweyewe ana antena sio mkia ule
 
Tena.unaota umeangalia chini ukiangalia juu sio mkia huo hiyo ni antena
mbuzi mweyewe ana antena sio mkia ule
Hahahaaaaaa,,,,,

Evelyn Salt,, shughur yako yaonekana simchezo,,,,

Nataman nije nikule chabo
 
Wametaka kufanana na dogo flani anaitwa [/b]HERI MUZIKI ameimba wimbo unaitwa nakukumbukaga......
Atakayeweza alete video yake hapa tuoanishe
Sio Ibra Nation ila huyu demu uzungu mwingiiii [emoji2] [emoji2] [emoji2]mi ndo maana sisikilizagi vipindi vya usiku
 
Back
Top Bottom