Diva aomba kurejea Clouds Media, apewa sharti la kwenda kufanya kazi Wasafi FM. Kutambulishwa hivi karibuni

Diva aomba kurejea Clouds Media, apewa sharti la kwenda kufanya kazi Wasafi FM. Kutambulishwa hivi karibuni

Iyo partnership business so sio kusaga pekee wako watatu sasa mkuu mwanzo mwsho umekazia kusaga
Ni kweli ya kusaga unabisha nini mondi ni kipele tu au unataka mbaka forbes wakuambie kwa nguvu coz watu wengi walidhani kama wewe ila hawa forbes ndio waliweka wazi
 
Kitenge tangu aingie usafin anarembua na vidole juu mbaka hatumuelewi kabisa au wali nazi siku hizi
Hahahaha sina mbavu aise, hahahha, sidhani ila mbwembwe mkuu, zikizidi lazima uharibu, hahaha
 
Huyo Diva Juzi Katuambia Kwamba Amesaini Agreement na Nasibu ambapo atakuwa analipwa salary Kubwa Zaidi Kuliko kule alikokuwa Mwanzo na amepewa Gari au Ndio Sifa za Kihaya?
 
Back
Top Bottom