Diva aonyesha Mjengo wake mpya

Diva aonyesha Mjengo wake mpya

Diva The Bawse sio mtu wa mchezo mchezo, amewaonesha mashabiki jambo ambalo limewashtua katika mtandao wa Instagram.
View attachment 466185
Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, amepost picha katika mtandao huo ya mjengo wake anaodai anaujenga huku akiweka wazi kuwa utakamilika ifikapo mwaka 2018.

“Tusichukuliane POA ila nene Hard work Pays. Aisee, don giv Up guys !. focus and Msidharau Online ads , Haya Matangazo ya Insta By 2018 yatamaliza Hii nyumba yangu. Tuseme Inshaallah'',
ameandika Diva katika picha ya nyumba
hiyo.

Endapo nyumba hiyo itakamilika itamfanya mtangazaji huyo kuwa miongoni mwa mastaa wenye mijengo mikali hapa Bongo.

Chanzo: Bongo 5
Kajitahidi mtoto wa kike ila sema sijui kwanini wanaume wanamfanyaga hivyo yaani
 
Diva The Bawse sio mtu wa mchezo mchezo, amewaonesha mashabiki jambo ambalo limewashtua katika mtandao wa Instagram.
View attachment 466185
Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, amepost picha katika mtandao huo ya mjengo wake anaodai anaujenga huku akiweka wazi kuwa utakamilika ifikapo mwaka 2018.

“Tusichukuliane POA ila nene Hard work Pays. Aisee, don giv Up guys !. focus and Msidharau Online ads , Haya Matangazo ya Insta By 2018 yatamaliza Hii nyumba yangu. Tuseme Inshaallah'',
ameandika Diva katika picha ya nyumba
hiyo.

Endapo nyumba hiyo itakamilika itamfanya mtangazaji huyo kuwa miongoni mwa mastaa wenye mijengo mikali hapa Bongo.

Chanzo: Bongo 5

Kuna Mtu hivi juzi kati tu aliniambia kwamba Biashara ya Dawa za Kulevya inaendelea na tena safari hii ndiyo inafanyika ' smoothly ' kabisa ambapo sasa haiuzwi tena hadharani bali kuna ' Vijiwe ' vyao ' maalum ' kabisa ambavyo ukiwa mjinga / ngumbaru huwezi kujua chochote.
 
Nyuba kama banda la njiwa..
Anajichoresha tu. Bora angekausha tu
 
Yako iko wapi? Nimefuatilia comments nyingi humu, pomoja na hii ya kwako ki ukweli bado tuko mbali sana na uhalisia wa mambo. Kwa hatua aliyoifanya huyu Bi dada ni hatua nzuri sana na si ya kuibeza kama wengi wamefanya humu, lakini ukiwauliza hao walioiponda hiyo nyumba ya Bi dada wana nini cha maana hakuna kitu, sana sana walio wengi wanakaa nyumba za kupanga, hata kiwanja cha kujenga choo hana uwezo wa kununua, ila akiwa humu ndio mtaalam wa kuponda jitihada za mwenzake, hayo sio maisha, huyu dada ki ukweli amejitahidi sana, tumsapoti tu afikie malengo yake, atakapofanikiwa Mimi na wewe tutakuwa tumejifunza kitu ambacho kitatutoa.
 
Nimekupenda bure kabisa, tupongeze jitihada za anayefanya, kama anakosea kufanya tumuelekeze kufanya vizuri ,
 
Diva The Bawse sio mtu wa mchezo mchezo, amewaonesha mashabiki jambo ambalo limewashtua katika mtandao wa Instagram.
View attachment 466185
Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, amepost picha katika mtandao huo ya mjengo wake anaodai anaujenga huku akiweka wazi kuwa utakamilika ifikapo mwaka 2018.

“Tusichukuliane POA ila nene Hard work Pays. Aisee, don giv Up guys !. focus and Msidharau Online ads , Haya Matangazo ya Insta By 2018 yatamaliza Hii nyumba yangu. Tuseme Inshaallah'',
ameandika Diva katika picha ya nyumba
hiyo.

Endapo nyumba hiyo itakamilika itamfanya mtangazaji huyo kuwa miongoni mwa mastaa wenye mijengo mikali hapa Bongo.

Chanzo: Bongo 5
Nyumba Nzuri ila ameezeka bati za kishamba!
 
..aisee eti administratïon block uliesema hivo mungu hataki hata kukuona...hahaha
 
Back
Top Bottom