HahahahaKweli mzee,Kuna kipindi the good ur IG bio is,the more cheap your life becomes .Kuna watu walipiga ela za kina "M Company na e.t.c." Mark aliliona hili asee,Hahaha.
AiseeeDiva The Bawse sio mtu wa mchezo mchezo, amewaonesha mashabiki jambo ambalo limewashtua katika mtandao wa Instagram.
View attachment 466185
Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, amepost picha katika mtandao huo ya mjengo wake anaodai anaujenga huku akiweka wazi kuwa utakamilika ifikapo mwaka 2018.
“Tusichukuliane POA ila nene Hard work Pays. Aisee, don giv Up guys !. focus and Msidharau Online ads , Haya Matangazo ya Insta By 2018 yatamaliza Hii nyumba yangu. Tuseme Inshaallah'', ameandika Diva katika picha ya nyumba
hiyo.
Endapo nyumba hiyo itakamilika itamfanya mtangazaji huyo kuwa miongoni mwa mastaa wenye mijengo mikali hapa Bongo.
Chanzo: Bongo 5
Bila shaka aliuonaAisee huu uzi Diva aliuona?
Diva the boss njooBila shaka aliuona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jumba kama Wodi ya Mwananyamala
Ila sura ngumu sanaDiva the boss njoo
unaitwa huku
Una pic yake tumuone alivyo.Diva the boss njoo
unaitwa huku
Sijui ka mtoa wapi nyumba ya kishamba nilishasemaga wanawake wanaojishaua ni washamba asilimia kubwa.hilo ghorofa mwenzangu kama banda la kuku,mmh sijui hyo designer kamtoa wap
Tuonyeshe ya kwako ya kisasa tuige mamaSijui ka mtoa wapi nyumba ya kishamba nilishasemaga wanawake wanaojishaua ni washamba asilimia kubwa.
Akili zerooo.
Nenda google andika katoto kazuri houses unazipata za design zote.Tuonyeshe ya kwako ya kisasa tuige mama
Ulizojenga au ulizochora?Nenda google andika katoto kazuri houses unazipata za design zote.
JengaUlizojenga au ulizochora?
Tuletee hapa basi mamito tuzioneJenga