Ha ha ha haaaaaaaHeee..
Hii ni nyumba ya kuishi au Kanisa la TAG??
Ground floor ni kama Godown vile...
Angalia vizuri.
Angeomba na ushauri basi,sasa hilo si godown
Punde atamfunika Zari we subiriNyodo alizotoa hazilingani kabisa na hiyo nyumba yenyewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Punde atamfunika Zari we subiri
Ametumia pesa nyingi kujenga godown la kuishi... angepata mshauri wa ramani ingemsaidia sana...Diva The Bawse sio mtu wa mchezo mchezo,
amewaonesha mashabiki jambo ambalo
limewashtua katika mtandao wa Instagram.
Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha
Clouds FM, amepost picha katika mtandao huo
ya mjengo wake anaodai anaujenga huku akiweka
wazi kuwa utakamilika ifikapo mwaka 2018.
“Tusichukuliane POA ila nene Hard work Pays
Aisee, don giv Up guys !. focus and Msidharau
Online ads , Haya Matangazo ya Insta By 2018
yatamaliza Hii nyumba yangu. Tuseme Inshaallah
,” ameandika Diva katika picha ya nyumba
hiyo.
Endapo nyumba hiyo itakamilika itamfanya
mtangazaji huyo kuwa miongoni mwa mastaa
wenye mijengo mikali hapa Bongo.
Ramani mbayaaaaaaaaaaaaaaaHongera ila mchora ramani duh
hhaaaaahaa naona km godown hv,ukiweka na hz bati....utathani yale ya stakabathi ghalaniHongera ila mchora ramani duh
Yanaitwa unapaulia MASUFULIA!!!eeeeh hivi navyo vichekesho yani ghorofa linapauliwa na mabati haya ya kawaida.
Weka hapa ghorofa yako mkuu.eeeeh hivi navyo vichekesho yani ghorofa linapauliwa na mabati haya ya kawaida.
Hata kama ni kibanda cha makuti ni chake muache anyodoke we inakuuma nini?Nyodo alizotoa hazilingani kabisa na hiyo nyumba yenyewe.
Sasa wapi nimesema ni kibanda cha makuti mkuu.Hata kama ni kibanda cha makuti ni chake muache anyodoke we inakuuma nini?