ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Wabongo tuna maneno
Yaani...sijui zao ziko wapi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo tuna maneno
mmmh huyu diva jeuri ya kujenga hyo nyumba ya mizimu anaitoa wapi mxieee
mbona kama nyumba ya kuku!!!
Kwa hiyo mkuu watu waliopondea nyumba ya Diva wote ni wanawake?Sijui kwanini wengi wa wanawake hawapendi maendeleo ya wengine
Onyesha yako.eeeeh hivi navyo vichekesho yani ghorofa linapauliwa na mabati haya ya kawaida.
hahahaahahahaNyumba ka godown la pamba
Mkuu sijasema hivyo , tumia % kupima hayo ninayo yasema ,wapo wanaume na wanawake pia ila mara nyingi wanawake ndio wanaongoza kuchukukia ya wenzaoKwa hiyo mkuu watu waliopondea nyumba ya Diva wote ni wanawake?
Umeingia ndani au umeona front view ushajua ramani yote?Hongera ila mchora ramani duh
Nimeshangaa tu mkuuUmeingia ndani au umeona front view ushajua ramani yote?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Naomba ukiponda weka na picha ya nyumba yako ili tukuelewe ukisema hilo ni banda la kuku.
Hii picha imepigwa kwa mbele au nyuma??Hongera ila mchora ramani duh