Hahahahah we acha tu...yani jana usiku nimecheka mwnyw mpk nikapaliwa watu wa jf hawana jema hata ukinunua ndege utasemwa vibaya tukama huna moyo unakunywa sumu,lol
Uliposema "nyodo alizotoa hazilingani kabisa na hiyo nyumba (mjengo)" ulikua na maana gani zaidi ya kuidharau? waswahili bwana mmeumbwa kukosoa kosoa tu kwa kila jambo la wenzenu, nyodo ni moja wa tabia ya mwanamkeSasa wapi nimesema ni kibanda cha makuti mkuu.
Au dishi limecheza.
Tujitahidi na sie tupaue ya kwetu kwa Cement
Administration block
Hiyo inaitwa ghorofa ya mabati[emoji2] [emoji2] [emoji2]eeeeh hivi navyo vichekesho yani ghorofa linapauliwa na mabati haya ya kawaida.
Nielekeze hela unapataje mkuu? Kupitia hao followers?kuja kwa sponsor ads kumeharibu biashara ya matangazo insta... enz zile ukiwa na followers wengi hulali njaa
kiukweli wamemkosea angeomba ushauri simple but goodRamani mbayaaaaaaaaaaaaaaa
Halafu sielewagi mtu anajenga mgorofa wake au hata nyumba ya chini halafu anaweka vidirisha kama tundu za ndege....
Na bati zake sijszielewa
Sijui kina lemutuz wataishijekuja kwa sponsor ads kumeharibu biashara ya matangazo insta... enz zile ukiwa na followers wengi hulali njaa
Hahaha na ramani zetu kama makanisa ya TAGTujitahidi na sie tupaue ya kwetu kwa Cement
Kajitahidi, ila haitakiwi kukimbia sana alitakiwa ajipange apate pesa za kupaulia hizo bati hazifai kutumika kwa ghorofa