wild wolf traveller
Member
- Dec 9, 2016
- 11
- 12
Mh hata sijui unataka kusema kapiga kwa nyuma?Hii picha imepigwa kwa mbele au nyuma??
Mm nilijua godauni[emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hili jengo ndiyo lililo disign niwa Yael Perry nini!
Hilo jengo limekaa kama kiwanda cha kutengeneza Nuclear Bomb
Asante dada diva tumekuelewaiwe shapealess iwe ghorofa la mabati iwe hakuna ground floor ni ya kwake.
wengine humu wanaishi stoo chumba kimoja kitanda + ndoo za maji + vyombo + magunia ya mkaa + cup board na mibegi ya kusafiria vyote hivi ndani ya chumba kimoja cha futi 10 tu
siku zote mtu mwenye mafanikio ndio anaechukiwa check it out
keep in touch
Amazing [emoji23][emoji23][emoji23]aaah mwenzangu umeona eeh? mchora ramani katisha,lol sio kwa ramani ile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ina mapembe?sasa kuhangaika na ghorofa uchwara ndo nini? c angejenga tu nyumba ya kawaida mfyuuu, nyumba inatisha
Watasema mtumbaHahahahah we acha tu...yani jana usiku nimecheka mwnyw mpk nikapaliwa watu wa jf hawana jema hata ukinunua ndege utasemwa vibaya tu
Nataman kukuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine eti administration block[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahaha na ramani zetu kama makanisa ya TAG
[emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zangu lol[emoji41][emoji41]
ayaAsante dada diva tumekuelewa
[emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zangu lol
Haki watu wana-diss humu khaaaWengine eti administration block[emoji3] [emoji3] [emoji3]