Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eeeeh hivi navyo vichekesho yani ghorofa linapauliwa na mabati haya ya kawaida.
Hahahaa.... Ninachokiona, hiyo nyumba pangefaa sana kama kingekuwa kituo cha Polisi.sasa kuhangaika na ghorofa uchwara ndo nini? c angejenga tu nyumba ya kawaida mfyuuu, nyumba inatisha
Teh teh eee.... Umeona!!!Kweli kabisa aisee
nipeleke kwenye ile hoteli yetu ndio nitakupa jibuKing Kong III, Heaven on Earth hivi huyu diva ana mishe gani town?
Rekebisha kauli si kila alie insta ana gar na nyumba mbn mm sina ?Ni kweli lake? Maana insta kila mtu ana nyumba na gari
Wengi wa tunaoponda hata foundation hatuijui, hata kama kakosea kwenye ramani, lakini watz tuna roho mbaya.Naomba ukiponda weka na picha ya nyumba yako ili tukuelewe ukisema hilo ni banda la kuku.
maisha ya mtandaoni hadi kwenye ramaniHongera ila mchora ramani duh
mkuu hajasema ni ya kuishi au ya biasharahilo ghorofa mwenzangu kama banda la kuku,mmh sijui hyo designer kamtoa wap
Teh umbea tumaisha ya mtandaoni hadi kwenye ramani
Huyu tunamsubiri kwenye list ya wauza K.Yeye bado hajatajwa ktk ile idadi ya wapika ugali?
Imenishtua kwa kweli doheeeeh hivi navyo vichekesho yani ghorofa linapauliwa na mabati haya ya kawaida.
Shikamoo Brother long time no seeWengi wa tunaoponda hata foundation hatuijui, hata kama kakosea kwenye ramani, lakini watz tuna roho mbaya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hizo kwenye paa zinazong'aa ni solar panels au.....?