Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
hahahaha duuumbona amepauli bati za fensi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha duuumbona amepauli bati za fensi
ngoja liishe jamani.hilo ghorofa mwenzangu kama banda la kuku,mmh sijui hyo designer kamtoa wap
Kwa haraka haraka this is a duplex.. Yani nyumba ya two in one.. Then the design, aaaagkgjgghhhhhh... Mabati "F",Nyumba ka godown la pamba
Mbona ramani kama ya godown hiyoDiva The Bawse sio mtu wa mchezo mchezo, amewaonesha mashabiki jambo ambalo limewashtua katika mtandao wa Instagram.
View attachment 466185
Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, amepost picha katika mtandao huo ya mjengo wake anaodai anaujenga huku akiweka wazi kuwa utakamilika ifikapo mwaka 2018.
“Tusichukuliane POA ila nene Hard work Pays. Aisee, don giv Up guys !. focus and Msidharau Online ads , Haya Matangazo ya Insta By 2018 yatamaliza Hii nyumba yangu. Tuseme Inshaallah'', ameandika Diva katika picha ya nyumba
hiyo.
Endapo nyumba hiyo itakamilika itamfanya mtangazaji huyo kuwa miongoni mwa mastaa wenye mijengo mikali hapa Bongo.
Chanzo: Bongo 5
ANAUZA PAPAAAAA IN GIGI MANE VOICEKing Kong III, Heaven on Earth hivi huyu diva ana mishe gani town?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] daahGhorofa limeezekwa na masufuria
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]Architecture atafutwe mara moja hiyo nyumba ya kuishi ama ukumbi wa mikutano na nikosa la jinai nyumba kama hiyo kwa bati hizo,
Ni kama mtu anunue mbao za mihama,au minazi apauliye bati za vigae haileti maana.
LOLZ WATZ JAMANIIIIIIIIIGhorofa limeezekwa na masufuria