Diva aonyesha Mjengo wake mpya

Diva aonyesha Mjengo wake mpya

Nyumba ka godown la pamba
Kwa haraka haraka this is a duplex.. Yani nyumba ya two in one.. Then the design, aaaagkgjgghhhhhh... Mabati "F",

And this is not typical of Dar es salaam architecture.. Alafu kama naona burnt bricks... Labda kama iko Mbeya..
 
Diva The Bawse sio mtu wa mchezo mchezo, amewaonesha mashabiki jambo ambalo limewashtua katika mtandao wa Instagram.
View attachment 466185
Mtangazaji huyo wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, amepost picha katika mtandao huo ya mjengo wake anaodai anaujenga huku akiweka wazi kuwa utakamilika ifikapo mwaka 2018.

“Tusichukuliane POA ila nene Hard work Pays. Aisee, don giv Up guys !. focus and Msidharau Online ads , Haya Matangazo ya Insta By 2018 yatamaliza Hii nyumba yangu. Tuseme Inshaallah'',
ameandika Diva katika picha ya nyumba
hiyo.

Endapo nyumba hiyo itakamilika itamfanya mtangazaji huyo kuwa miongoni mwa mastaa wenye mijengo mikali hapa Bongo.

Chanzo: Bongo 5
Mbona ramani kama ya godown hiyo
 
Kwani kaandika kuwa ni nyumba ya kulala? Imeonyesha na inaonekana kuwa ni store!
 
Online ads zitamalizia mjengo vp kuhusu salary ??
Page ya diva ina ads gani zaidi ya picha zake za utupu/ you never know they might be ads to others!.
 
Uchumi wa Viwanda!
Anajenga kiwanda jamani!
 
Back
Top Bottom