Diva ataja sababu za Alikiba kushindwa kung'aa, team Jokate wamjia juu

Gundy ni kitu gain?
huyu ni mdudu anayefanana na mende na hasa wanakuwa rangi ya kijani kibichi, nilikuwa nawaona sana tabora kipindi cha masika, mdudu huyu anasifika kwa kutoa harufu kali sana kama ya karo za mavi, akiingia kwenye chakula hakiliki, nguo haivaliki, lazma ukimbie, hang'ati ila ushuzi wake ndugu usipime,
 
Huo ni wivu tuu... Kiba kashindwa mwenyewe halafu ana singiziwa Jokate?
Diva huwa anampenda kiba
 
Huo ni wivu tuu... Kiba kashindwa mwenyewe halafu ana singiziwa Jokate?
Diva huwa anampenda kiba
Saana!Diva anampenda Kiba kimahaba hasa mpaka anashindwa kujizuia,kuna kipindi alimvaa Jokate bila hata sababu,alimtolea maneno ya kejeri mpaka tukashangaa?!yaani bila sababu...kumbe Ni mahaba yake kwa Alikiba maskini[emoji23][emoji38]
 
Hicho kidiva sijui kipoje kinafanya mambo hayaendani na umri wake
 
Pia anataka kufanana na digidigi.......anapendelea kula vyura
 
Yeye mwenye nyota mbona hajampandisha yule mpenzi wake GK
 
Kiba alimshukuru Jokate na mwingine kwa vazi lake la jana usiku, maybe ndio maana Diva kampa yake. Ila tunajua Jokate anampenda Hashimu T.
Jamn mm naichukia hyo kapo ya kiba na jokate[emoji35]yaan jokate haendan kabisa na kiba jamaniii...hivi huyu jokate na ujanja wake wote anaend kupenda hii toto y kariakoo zero brain? Wakizaa watoto watakua hewa kama baba yao
diva naye nyapu nyapubtu
 
Kumekucha,shoo ya fiesta kafanya mbovu mpaka basi,na kule MTV EMA ndio hivo kadondokea pua.Badala lifanye muziki muda wote linatengeneza majungu,halafu DIAMOND mwenyewe hana hata time ya kumjibu.
 
Anafaa kua na watu wenyw heshima zao wambao hawako kwwnye spot lights ameenda kuzoea hilo jitu khaaaa yaan hapo ndio namshushaga jokate
Kila shetan Ana mbuyu wake
 
Hajui hajui ila anaongelewa sana kwanini?..sasa zamu ya 20% kuzungumziwa
 
Theoretical words.......siamniii[emoji126]
 
Mh hapo kiba akipita akaona huo ushauri wa diva nae atafanya kweli,atapiga mtu buti,na hivi anavyoamini hayo mavitu!!!!!! Ngojeni tu mtasikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…