Diva atundikwa mimba na mtangazaji mwenzie

Diva atundikwa mimba na mtangazaji mwenzie

Unajuaa watu wakipiga picha kwenye camera ya snapchat na zile effects wanawekea baadae wanaamini zile ndo sura zao halisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani wachukue video na camera za kawaida tuwaone wasitumie camera zenye filter [emoji23][emoji23] wajitoe muhanga kama Nandy tuone natural wanaonekana vipi
 
Wasalaam...
Habari za haraka zinasema yule mtangazi mzuri kuliko watangazi wote nchini na mwenye shape nzuri kuliko watangazaji wote africa mashariki na kati Diva "loveness" ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha mahaba Clouds Fm ametundikwa mimba na mtangazaji mwenzie Michael Lukindo a.k.a "informer"

Inasemekana kijana informer alitumia ule mwanya wa Diva kubwagwa hadharani na kugeuka kama mfariji wake na mwisho wa siku wakaangukia kwenye mapenzi huku wakifanya kazi ktuo kimoja...

Baada ya muda Diva alimwambia informer kuwa nina mimba lakini ndugu Michael alipokea habari hiyo kwa furaha na alikuwa kwenye process za kuacha kazi na kuanza kufanya muziki kama msanii...

Hongera sana Diva...
Ndugu infomer usimtelekeze DivaView attachment 744109
So what?
 
Nazungumzia rangi wanaweza wafanya watu wakatafuta mikorogo mpaka wakapaka maji ya betri mradi wawe soft kumbe ni camera [emoji23][emoji23]
Rafiki lile tatizo lako la kutokupata mimba lilishaisha au niingilie kati?[emoji53][emoji53][emoji53]
 
Back
Top Bottom