Kabisaa ni ile mifilter anayotumiaga anakuwa kama kajipaka majivu [emoji23][emoji23]Waseme mzuri ila sio mzuri kuliko wote alaaa. Wakati hata da Zama kamzidi
Lazima wanashindana sana kwenye lip balm sio kwa lips hizoHahaaaa shemeji wakugombania dressing table na dada.
Nashukuru Mungu niko poa
Tena shemeji anamalizaLazima wanashindana sana kwenye lip balm sio kwa lips hizo
Unajuaa watu wakipiga picha kwenye camera ya snapchat na zile effects wanawekea baadae wanaamini zile ndo sura zao halisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisaa ni ile mifilter anayotumiaga anakuwa kama kajipaka majivu [emoji23][emoji23]
Shem malipsiii [emoji3][emoji3]Tena shemeji anamaliza
Yani wachukue video na camera za kawaida tuwaone wasitumie camera zenye filter [emoji23][emoji23] wajitoe muhanga kama Nandy tuone natural wanaonekana vipiUnajuaa watu wakipiga picha kwenye camera ya snapchat na zile effects wanawekea baadae wanaamini zile ndo sura zao halisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama yule Brown wa Wolper[emoji23][emoji23]Shem malipsiii [emoji3][emoji3]
Au Calisah[emoji28][emoji28]Shem malipsiii [emoji3][emoji3]
Papuchi is a serious job to a man, unakuta mtu anasafiri kwenda dubai au marekani ili akagegede tu.Mil. 500 kazikosa,
Sasa kaambulia mimba!
Wanaume hawadhihakiwi kwenye suala la kupapuchika.
hua nacheka sana...mdada anajikweza mwisho wa siku ndo haya sasaAlituambia ana bwana wa kutoa mahari ya mil 500 keshapatikana
imekuwaje tena serengeti boy amechezea pubic air zake
wajameni?
So what?Wasalaam...
Habari za haraka zinasema yule mtangazi mzuri kuliko watangazi wote nchini na mwenye shape nzuri kuliko watangazaji wote africa mashariki na kati Diva "loveness" ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha mahaba Clouds Fm ametundikwa mimba na mtangazaji mwenzie Michael Lukindo a.k.a "informer"
Inasemekana kijana informer alitumia ule mwanya wa Diva kubwagwa hadharani na kugeuka kama mfariji wake na mwisho wa siku wakaangukia kwenye mapenzi huku wakifanya kazi ktuo kimoja...
Baada ya muda Diva alimwambia informer kuwa nina mimba lakini ndugu Michael alipokea habari hiyo kwa furaha na alikuwa kwenye process za kuacha kazi na kuanza kufanya muziki kama msanii...
Hongera sana Diva...
Ndugu infomer usimtelekeze DivaView attachment 744109
[emoji23][emoji23] hapo mwishohua nacheka sana...mdada anajikweza mwisho wa siku ndo haya sasa
dont underestimate the power of sperms
Nandy mzuri bwana na mabutu yakeYani wachukue video na camera za kawaida tuwaone wasitumie camera zenye filter [emoji23][emoji23] wajitoe muhanga kama Nandy tuone natural wanaonekana vipi
Nazungumzia rangi wanaweza wafanya watu wakatafuta mikorogo mpaka wakapaka maji ya betri mradi wawe soft kumbe ni camera [emoji23][emoji23]Nandy mzuri bwana na mabutu yake
Rafiki lile tatizo lako la kutokupata mimba lilishaisha au niingilie kati?[emoji53][emoji53][emoji53]Nazungumzia rangi wanaweza wafanya watu wakatafuta mikorogo mpaka wakapaka maji ya betri mradi wawe soft kumbe ni camera [emoji23][emoji23]
Ndio walivyo.. wanakuwaga na masharti kweli lakin anakuja kutokea mchizi mmoja ambae hana hata hadhi yake anamtungua na mimba kabisaa..Alituambia ana bwana wa kutoa mahari ya mil 500 keshapatikana
imekuwaje tena serengeti boy amechezea pubic air zake
wajameni?
Mimba ishatick mkuu, ndio ilikuwa kavu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah kama ni kweli basi pasipo na shaka yoyote nasema jamaa alipiga kavu[emoji13]